ARUSHA WAMKUBALI DKT. SAMIA

Wananchi wakiwa wamefurika kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha kumsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye alikuwa anajinadi yeye , wabunge na madiwani wa chama hicho kwa kuwaomba watanzania kuipigia CCM kura Oktoba 29, 2025.















 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

LEO NI LEO KAMPENI ZA DKT. SAMIA SONGWE

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM