๐—ช๐—”๐—ง๐—”๐—ก๐—ญ๐—”๐—ก๐—œ๐—” ๐—›๐—”๐—ช๐—”๐—ก๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—”๐—ก๐——๐—”๐— ๐—”๐—ก๐—ข - ๐— ๐—”๐—ž๐—ข๐—ก๐——๐—”

 


๐˜ผ๐™จ๐™š๐™ข๐™– ๐™ฌ๐™–๐™ข๐™š๐™–๐™ข๐™ช๐™– ๐™ ๐™ช๐™Ÿ๐™ž๐™š๐™ก๐™š๐™ ๐™š๐™ฏ๐™– ๐™ ๐™ฌ๐™š๐™ฃ๐™ฎ๐™š ๐™ ๐™ช๐™˜๐™๐™–๐™ฅ๐™– ๐™ ๐™–๐™ฏ๐™ž ๐™ฃ๐™– ๐™ ๐™ช๐™˜๐™๐™–๐™œ๐™ช๐™– ๐™ข๐™–๐™š๐™ฃ๐™™๐™š๐™ก๐™š๐™ค ๐™š๐™ฃ๐™™๐™š๐™ก๐™š๐™ซ๐™ช ๐™ ๐™ช๐™ฅ๐™ž๐™ฉ๐™ž๐™– ๐™ข๐™œ๐™ค๐™ข๐™—๐™š๐™– ๐™๐™ง๐™–๐™ž๐™จ ๐˜ฟ๐™ ๐™ฉ. ๐™Ž๐˜ผ๐™ˆ๐™„๐˜ผ.


Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa, Ndugu. Paul Makonda, amemueleza Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM na Mwenyekiti wa Chama hicho, Rais Dkt. ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฆ๐˜‚๐—น๐˜‚๐—ต๐˜‚ ๐—›๐—ฎ๐˜€๐˜€๐—ฎ๐—ป kuwa wananchi katika vijiwe mbalimbali alivyovitembelea wamemuhakikishia kuwa tarehe 29 Oktoba 2025 haitakuwa siku ya maandamano, bali siku ya kushiriki kikamilifu katika zoezi la kupiga kura na wataendelea kuendeleza imani yao kwa chama hicho kwa kumchagua Dkt. Samia katika nafasi ya Urais, Wabunge na Madiwani wote wanaotokana na CCM.


Ndg. Makonda amebainisha hIlo mbele ya kadamnasi ya wananchi wa Shinyanga katika muendelezo wa mikutano ya kampeni za Urais kupitia CCM, leo tarehe 11 Oktoba 2025.


Akieleza imani ya makundi mbalimbali ya watu aliyokutana nayo wakiwemo vijana wa bodaboda, wazee, akina mama lishe na wakulima kwa wafugaji, Ndg. Makonda amesema wananchi wamemueleza kwa dhati kuwa hawana nia ya kushiriki maandamano na kwamba wameamua kutumia haki yao ya kikatiba kwa kupiga kura na kuendelea kudumisha amani ya Taifa letu.


"..Wananchi hawana muda na mjadala wa maandamano, ni vema zaidi kuachana na mjadala huo na kuelekeza nguvu katika ushiriki wa uchaguzi kwa njia ya kidemokrasia."


Aidha, Ndg. Makonda amewaeleza Watanzania dhamira ya dhati ya Dkt. Samia katika utekelezaji wa Ujenzi na Uboreshaji wa bandari mbalimbali nchini ambao umeongeza tija ya ukuaji wa kiuchumi na mwingiliano wa biashara wenye kuleta matokeo chanya katika kukuza na kuinua uchumi wa Watanzania na Taifa kwa ujumla kwa kusema kuwa Dkt. Samia amesaidia kupunguza kwa kiasi kikubwa gharama zilizokuwa zikitumika awali na kuifungulia Tanzania milango ya uingizaji fedha nyingi kupitia bandari zetu fedha ambazo zimekuwa zikitumika pia katika utekekezaji wa miradi mingine ya kimkakati na kijamii.


Katika kumtakia Afya njema Mgombea Urais Dkt. Samia, Ndg. Makonda ametumia nafasi hiyo kumtakia afya njema na kumuombea Mungu huku akimsihi aendelee kufanya maamuzi yenye kuzingatia maslahi mapana ya Taifa la Tanzania kama afanyavyo sasa.


๐™๐™จ๐™ž๐™—๐™–๐™—๐™–๐™ž๐™จ๐™๐™ฌ๐™š ๐™ฃ๐™– ๐™ซ๐™ž๐™Ÿ๐™ž๐™ข๐™–๐™ฃ๐™š๐™ฃ๐™ค ๐™ซ๐™ฎ๐™– ๐™ช๐™ค๐™ฃ๐™œ๐™ค ๐™ข๐™ž๐™ฉ๐™–๐™ฃ๐™™๐™–๐™ค๐™ฃ๐™ž, ๐™Ž๐™๐™ž๐™ง๐™ž๐™ ๐™ž ๐™ช๐™˜๐™๐™–๐™œ๐™ช๐™ฏ๐™ž, ๐™ข๐™˜๐™๐™–๐™œ๐™ช๐™š ๐˜ฟ๐™ ๐™ฉ. ๐™Ž๐˜ผ๐™ˆ๐™„๐˜ผ ๐™ ๐™ฌ๐™– ๐™ข๐™–๐™š๐™ฃ๐™™๐™š๐™ก๐™š๐™ค ๐™š๐™ฃ๐™™๐™š๐™ก๐™š๐™ซ๐™ช ๐™ฃ๐™– ๐™ ๐™ช๐™ž๐™ฃ๐™ช๐™– ๐™๐™ฉ๐™ช ๐™ฌ๐™– ๐™ ๐™ž๐™ก๐™– ๐™ˆ๐™ฉ๐™–๐™ฃ๐™ฏ๐™–๐™ฃ๐™ž๐™–๐Ÿ’š๐Ÿ’›


#SafariYaCCM

#KaziNaUtuTunasongaMbele

#Oktoba29Tunatiki๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ✅l

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

DKT.NCHIMBI ATUA RASMI SONGEA KUSAKA KURA ZA CCM

DKT. SAMIA AWASILI ZANZIBAR

DKT. SAMIA AAHIDI KUJENGA CHUO CHA UHASIBU SONGEA