𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗭𝗨𝗥𝗨 𝗞𝗔𝗕𝗨𝗥𝗜 𝗟𝗔 𝗛𝗔𝗬𝗔𝗧𝗜 𝗠𝗔𝗚𝗨𝗙𝗨𝗟𝗜

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Rais Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 akiomba dua kwenye Kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, Rubambangwe Chato mkoani Geita, leo tarehe 13 Oktoba, 2025.

Dkt. Samia amefika nyumbani hapo mara baada ya kumaliza mkutano wake wa kampeni za Urais uliofanyika Chato mkoani Geita.




 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

DKT.NCHIMBI ATUA RASMI SONGEA KUSAKA KURA ZA CCM

DKT. SAMIA AAHIDI KUJENGA CHUO CHA UHASIBU SONGEA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA