DARASA LA UPIGAJI KURA KWA DKT. SAMIA LAFANYIKA MKUTANONI SENGEREAMA

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenan Kihongosi akitoa elimu jinsi ya kumpgia kura Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Anayeshuhudia kushoto ni Mgombea, Dkt. Samia.

Elimu hiyo ilitolewa kwa mara ya kwanza katika mkutano wa kampeni za CCM kwenye Uwanja wa Tabasamu wilayani Sengerema, Mwanza. Oktoba 7, 2025.


 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT.NCHIMBI ATUA RASMI SONGEA KUSAKA KURA ZA CCM