DKT. SAMIA AWAKABIDHI ILANI WAGOMBEA UBUNGE BASHUNGWA, BAHEMU, NSEKELA


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Ilani kwa baadhi ya Wagombea Ubunge wa Majimbo ya Mkoa wa Kagera wakati wa Mkutano wa Kampeni za uchaguzi Mkuu leo October 15,2025.


Kutoka kushoto ni Innocent Bashungwa ( Karagwe), Khalid Nsekela (Kyerwa) na Dotto Bahemu (Ngara).


 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

DKT.NCHIMBI ATUA RASMI SONGEA KUSAKA KURA ZA CCM

DKT. SAMIA AAHIDI KUJENGA CHUO CHA UHASIBU SONGEA