KAGERA IMEITIKA KAMPENI ZA DKT SAMIA

Wanakagera wamejitokeza kwa wingi, kwa shangwe na nderemo, kumlaki Dkt. Samia Suluhu Hassan, mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)  kiongozi shupavu na Injinia  wa  maendeleo alie waletea maendeleo lukiki ndani ya muda mfupi wa Uongozi wake

Wanasema hawajawahi kuona kasi ya maendeleo kama hii  miradi ya miundombinu, huduma za jamii, uwezeshaji wa vijana na wanawake, yote yakiwa ni alama ya uongozi wenye matendo, si maneno.








 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

DKT.NCHIMBI ATUA RASMI SONGEA KUSAKA KURA ZA CCM

DKT. SAMIA AAHIDI KUJENGA CHUO CHA UHASIBU SONGEA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA