MAMBO YAMEPAMBA MOTO KAMPENI ZA DKT. SAMIA HAI

Ni shangwe, vigeregere katika mkutano wa kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Bomang'ombe wilayani Hai. Kilimanjaro Oktoba Mosi, 2025.

Pamoja na mambo mengine ameahidi kujenga wilayani Hai, chuo kikubwa Cha Uhasibu CBE Kampasi ya Kilimanjaro.













 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

LEO NI LEO KAMPENI ZA DKT. SAMIA SONGWE

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM