PROF. MUHONGO APIGA KAMPENI ZA MAFANIKIO KWENYE VISIWA VITATU

KAMPENI VISIWANI: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo, amepiga kampeni yenye mafanikio makubwa kwenye visiwa vitatu:

1. Kisiwa cha Rukuba
Kijiji cha Rukuba, Kata ya Etaro

2. Kisiwa cha Iriga
Kijiji cha Busamba, Kata ya Etaro

3. Kisiwa cha Kagongo
Kijiji cha Bwai Kumsoma, Kata ya Kiriba

Timu ya Kampeni 
Jimbo la Musoma Vijijini 

Tues, 14 Oct 2025







 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

DKT.NCHIMBI ATUA RASMI SONGEA KUSAKA KURA ZA CCM

DKT. SAMIA AAHIDI KUJENGA CHUO CHA UHASIBU SONGEA