WAELEZA MAPENZI YAO YA DHATI KWA DKT. SAMIA, WAAHIDI KUMPIGIA KURA

Kijana na bibi wakazi wa jiji la Mwanza wakielezea sababu za kumpigia kura Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa mkutano wa kampeni za CCM katika Kata ya Buhongwa, Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza Oktoba 7, 2025.


 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT.NCHIMBI ATUA RASMI SONGEA KUSAKA KURA ZA CCM