SITAONA SHIDA KUBADILISHA WAZIRI ATAKAYESHINDWA KUWATUMIKIA WANANCHI - RAIS SAMIA

Rais wa Jamhuiri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa hafla ya uapisho wa mawaziri na manaibu waziri Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 18, 2025 ambapo amewaambia mawaziri hao kwamba wamebeba dhamana ya kazi na si ufahari pia wajue wanawajibika kwa wananchi na Taifa kwa ujumla.

Aidha, hakusita kusema kwamba atakayediriki kuubeba uwaziri kama ufahari atamwajibisha mara moja.


 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

JESHI LA POLISI LATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA, LAONDOA KIZUIZI CHA KUTOTOKA NJE BAADA YA SAA 12 JIONI