๐๐๐ ๐๐๐๐ง๐๐ฆ๐๐ง๐ ๐๐จ๐ช๐๐๐๐จ๐๐จ๐๐๐ ๐๐๐ง๐จ๐ ๐ช๐๐ง๐จ๐ ๐๐ฆ๐๐ ๐ช๐ ๐จ๐ ๐ ๐ ๐ช๐๐๐๐๐๐๐ฆ๐๐๐๐ - ๐ ๐ช๐๐ก๐๐ญ๐ ๐๐๐ก๐๐ก๐
๐ผ๐จ๐๐ข๐ ๐พ๐พ๐ ๐๐ฃ๐ ๐ฌ๐๐๐๐๐ช ๐ฌ๐ ๐ ๐ช๐๐ช๐๐ฉ๐๐ก๐๐ ๐ช๐ฉ๐๐ ๐๐ก๐๐ฏ๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐๐ก๐๐ฃ๐ ๐ฎ๐๐ ๐ ๐ ๐ฌ๐๐ ๐ช๐ฌ๐ ๐จ๐๐ง๐๐ ๐๐ก๐ ๐๐ฃ๐๐ฉ๐ค๐ ๐๐ฃ๐ ๐ฃ๐ ๐๐๐๐ข๐ ๐๐๐๐๐ค.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. ๐๐ฒ๐ป๐ฎ๐ป๐ถ ๐๐ถ๐ต๐ผ๐ป๐ด๐ผ๐๐ถ amewataka watumishi wa umma kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi kwa kutanguliza utu na muda.
Akizungumza na viongozi mbalimbali wa chama na jumuiya wa mkoa wa Dar es salaam, Mwenezi Kenani amesema kuwa wapo baadhi ya watumishi wa umma ambao wamekuwa wakilalamika kuwa kwanini viongozi wa chama wamekuwa wakifuatilia utekelezaji wa miradi mbalimbali ambapo ameeleza kuwa kitendo hicho ni kudhiirisha kuwa watumishi hao hawapo tayari kutekeleza majukumu yao kwa ukamilifu na kusema kufanya hivyo ni kuikosea heshima serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayotokana na CCM na kuongozwa na Mwenyekiti na Rais Mhe. Dkt. ๐ฆ๐ฎ๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฆ๐๐น๐๐ต๐ ๐๐ฎ๐๐๐ฎ๐ป.
Mwenezi Kenani ametuma ujumbe kwa baadhi ya watumishi hao akisema kuwa CCM hiataacha kufuatilia kila hatua katika utoaji hudumu wao kwa wananchi na utekelezaji wa miradi kwakuwa inayotekelezwa ni ilani ya uchaguzi ya CCM waliyoinadi.
"kuna baadhi ya watumishi wa umma wanasema chama kinawafatafata, waambieni tuna wajibu wa kuwafata kwakuwa ilani inayotekelezwa ni yetu na tutawafata kila wakati kuhakikisha wanafanya kazi iliyokusudiwa na Rais Mhe. Dkt. Samia"
"Ikiletwa fedha ya kituo cha afya basi chama kitakuja kukagua matumizi sahihi ya fedha hizo, hatutaacha kufanya hivyo kwakuwa watumishi wazembe ndiyi wenye kusababisha CCM ionekane haifanyi kazi"

Comments