HONGERA RAIS SAMIA UMEFANYA MAKUBWA JIMBO LA ILEMELA - MBUNGE KAFITI

Mbunge wa Ilemela, Kafiti Kafiti amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuifungua Tanzania hivyo kuvutia wawekezaji wengi kuja nchini na kulifanya Taifa kupiga hatua kubwa za kimaendeleo. Pamoja na mambo mengine, Kafiti ametoa pongezi hizo leo Januari 29, 2026, bungeni Dodoma alipokuwa akichangia mjadala wa hotuba ya Rais Samia aliyoitoa wakati akilifungua Bunge Novemba 14, 2025.



 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA -0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

'MAREKANI IKIJARIBU KUANZISHA VITA NA URUSI ITAANGAMIA'