MWANYIKA AZIDI KUWAPIGANIA WAKULIMA WA. PARACHICHI NJOMBE


Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameihoji Serikali bungeni Dodoma leo Januari 29, 2026 kwamba ina mpango gani wa kutoa ruzuku ya dawa katika zao la Parachichi nchini?

Amehoji hilo kwa Waziri wa Kilimo, wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni ambapo alijibiwa kama ifuatavyo na Naibu Waziri wa wizara hiyo, David Silinde....IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

'MAREKANI IKIJARIBU KUANZISHA VITA NA URUSI ITAANGAMIA'