KUMEKUCHA DODOMA, TBN IPO TAYARI KWA UFUNGUZI WA ABC 2026! 🇹🇿🎙️

Kutoka katikati ya mji mkuu wa Serikali, Dodoma,  Februari 12, 2026, tasnia ya habari itakutana katika ukumbi wa New Generation kwa ajili ya ufunguzi wa Mkutano wa Mwaka wa Vyombo vya Utangazaji (ABC).

Mgeni Rasmi, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda, atazindua rasmi mkutano huu ambapo TBN pia itatoa salamu zake za mwanzo.Mwenyekiti ataongoza wanablogu 60 wanachama wa TBN kusikiliza waziri na kutoa mmichango yaouendelezaji wa sekta.

Nini kipo mezani kesho kutokea TBN?

Sauti ya Wanablogu 200+: TBN itatoa salamu za wadau, ikisimama kama "Balozi wa Kidijitali" anayepambania amani, utulivu, na maendeleo ya nchi yetu.

Kurekebisha Algorithim za AI: TBN itaelezea mpango wake wa kizalendo wa kurekebisha taswira ya Tanzania mtandaoni kwa kushibisha anga la kidijitali na maudhui bora ya ndani ili kuondoa "madudu" ya AI.

Shukrani kwa Serikali na TCRA: Tutatumia jukwaa hili kuishukuru serikali kwa kusikia kilio chetu na kuanza mchakato wa kupunguza vizingiti vya ada na leseni, jambo linalochochea ajira kwa vijana.

Uzalendo wa Kidijitali: Task force yetu inaendelea kufanya kazi kuhakikisha Tanzania inang'ara kimataifa katika uwekezaji na utalii kupitia habari chanya.

Tukutane ukumbi wa New Generation au fuatilia kurasa zetu kwa updates za dakika baada ya dakika!

#ABC2026 #TBNDodoma #PaulMakonda #TCRA #NewGeneration #DigitalTanzania #AmaniNaMaendeleo #MabaloziWaKidijitali



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

Wasifu wa Kizza Besigye

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA

SPIKA ZUNGU KUHUDHURIA MKUTANO WA 28 WA MASPIKA WA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA IND