WAZIRI KIKWETE AWASHUKURU OWM-KAZI,AJIRA NA MAHUSIANO KWA KUMPATIA NISHANI.


‎Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete (Mb) amewashukuru OWM-Kazi, Ajira na Mahusiano kwa kumtambua kama aliyechangia mabadiliko katika sera ya Kinga ya Jamii.
‎Mh.Kikwete amesema kuwa nishani hiyo ataipeleke kwa Mh. Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT kwa kumpa nafasi ya kutumika katika nchi hii chini ya Uongozi wake.
‎Amemshukuru Mh.Rais toka kwenye sakafu ya Moyo wake kwa kumteua na kumuamini siku zote. Ameendelea kuahidi kuwa atatumika kwa manufaa na ujenzi wa nchi.


 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

Wasifu wa Kizza Besigye

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA

SPIKA ZUNGU KUHUDHURIA MKUTANO WA 28 WA MASPIKA WA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA IND