Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Khadija Ngasongwa, akielezea mbele ya vyombo vya habari jijini Dodoma jinsi tume hiyo ilivyolifanyia kazi sakala la uwekezaji katika Klabu ya Simba na kwamba kwa upande wao walishalimaliza tangu mwaka 2023.
Khadija ametoa majibu hayo alipokuwa akielezea mafanikio ya Tume hiyo yaliyopatikana wakati wa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments