HERSI AZINDUA TAWI LA YANGA CHINA

Rais wa klabu ya Yanga Eng. Hersi Said amezindua rasmi tawi la Guangzhou nchini China likikuwa ndilo tawi la Kwanza kuzinduliwa ndani ya bara la Asia tangu kuanzishwa kwa mfumo wa mabadiliko ndani ya klabu hiyo miaka minne iliyopita.

Yanga SC inakuwa klabu ya kwanza kutoka barani Africa kuwa na wanachama wanaoichangia klabu yao na kufikia hadhi yakuwa tawi ndani ya bara la Asia.




 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

Wasifu wa Kizza Besigye

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

KIJANA WA KINYAKYUSA WA ENZI HIZO, NUSURA AMCHAPE WAZIRI MUONGO BUNGENI