TPHPA YAWEZEZESHA KUSAJILI KAMPUNI 16 KUUZA PARACHICHI NCHINI CHINA

MAMLAKA ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imewezesha kusajiliwa kwa Kampuni 16 za kitanzania kuuza matunda ya parachichi  nchini China.


‎Mafanikio hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo, Prof. Joseph Ndunguru wakati akielezea mafanikio ya TPHPA wakati wa Serikali ya Awamu 6 inayoongozwa na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan katika mkutano na  vyombo vya Habari kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari - MAELEZO, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo jijini Dodoma Machi 24, 2026.



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.

MATUKIO RAIS, AMIRI JESHI MKUU DKT. SAMIA AKIZINDUA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA (MMUT)