WAFANYAKAZI WANAWAKE WA KAMPUNI YA MAWASILIANO TANZANIA LTD (TTCL) WATOA MSAADA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI)

Wafanyakazi Wanawake wa Kampuni ya Mawasiliano Tanzania Ltd  (TTCL)  wakimsikiliza Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa Majani wakati akiwaeleza kuhusu magonjwa ya moyo kwa watoto walipotembelea JKCI hivi karibuni kutoa msaada wa vitu mbalimbali  kwaajili ya watoto wanaotibiwa katika taasisi hiyo ikiwa ni maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani. (NA KHAMISI MUSSA).
 
Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Kampuni ya Mawasiliano Tanzania Ltd  (TTCL)  Adeline Berchimance akikabidhi moja ya msaada kutoka kwa Wafanyakazi Wanawake wa kampuni hiyo  kwa Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa Majani wakati walipotembelea taasisi hiyo hivi karibuni kutoa msaada wa vitu mbalimbali  kwaajili ya watoto wanaotibiwa katika taasisi hiyo ikiwa ni maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani.
 Wauguzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi Wanawake wa Kampuni ya Mawasiliano Tanzania Ltd  (TTCL)  walipotembelea JKCI hivi karibuni kutoa msaada wa vitu mbalimbali  kwaajili ya watoto wanaotibiwa katika taasisi hiyo ikiwa ni maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani.


Wauguzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi Wanawake wa Kampuni ya Mawasiliano Tanzania Ltd  (TTCL)  walipotembelea JKCI hivi karibuni kutoa msaada wa vitu mbalimbali  kwaajili ya watoto wanaotibiwa katika taasisi hiyo ikiwa ni maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani.









Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025