YANGA YAIPIGA SINGIDA 3-0, AZAM YABANWA MBAVU NA PRISONS

Yanga SC wametakata kwenye uwanja wa Airtel Singida kufuatia ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Singida Black Stars,Huku Azam FC ikishindwa kutamba dhidi ya Tanzania Prisons katika dimba la Sokoine, Mbeya kufuatia sare tasa.

Yanga SC wameendelea kuwa kileleni mwa msimamo wa NBC sasa wamefikisha jumla ya alama 32.

Azam FC wamesogea mpaka nafasi ya 4 kwenye msimamo wakimshusha Pamba Jiji na wamefikisha jumla ya alama 24 huku wote wakiwa sawa kwa alama utofauti ni magoli ya kufunga na kufungwa.

FT: Singida Black Stars 0-3 Yanga Sc

 39' Dube

 45+2' Okello

 54' Mudathir

FT: TZ Prisons 0-0 Azam FC.



 


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

MATUKIO RAIS, AMIRI JESHI MKUU DKT. SAMIA AKIZINDUA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA (MMUT)

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.