“Mwanza hatuwezi kujenga Uwanja wa 30,000 ule ni Mkoa namba Mbili kwa wingi wa Watu kwa hiyo kama tunajenga pale tunapiga kitu cha 60,000 na tumepungua sana 45,000 maana yake tutakuwa na uwanja unaokidhi ufunguzi wa Kombe la dunia na AFCON, tukipiga Mwanza tukaja tukapiga Mbeya imeisha hiyo””
Ni kauli ya Gerson Msigwa ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kupitia kituo cha Wasafi FM

Comments