Afisa Muelimishaji Umma wa Taasisi ya Kuzuia Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Idda Siriwa ametoa wito kwa wanawake kwamba wasisite kutoa taarifa TAKUKURU pale wanapoomba rushwa ya ngono kwani kitendo hicho ni udhalilishani wa utu wao.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203
Comments