PROF. NDAKIDEMI: TUKIACHA KABISA KINGEREZA KUFUNDISHIA, TUTAPIGWA GOLI KIMATAIFA+video

 Mbunge wa Moshi Vijijini, Profesa Patrick Ndakidemi akitoa maoni yake katika mkutano wa wabunge kutoa maoni kuhusu maboresho ya sera na mitaala nchini, ameshauri kuwa tusiache kabisa lugha ya kiingereza kufundishia, ama sivyo tutapigwa goli katika medani ya kimataifa.

Aidha, akiendelea kutoa maoni hayo katika mkutano ulioandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia katika Ukumbi wa Msekwa, Bungeni Dodoma Mei 7, 2022, ameshauri kuwa katika maboresho hayo yaongozwe masomo ya ujasiriamali na ubunifu ili kumuandaa mwanafunzi kujiajiri.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Prof. Ndakidemi akitoa maoni yake hayo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA

JESHI LA POLISI LATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA, LAONDOA KIZUIZI CHA KUTOTOKA NJE BAADA YA SAA 12 JIONI