PROF. NDAKIDEMI: TUKIACHA KABISA KINGEREZA KUFUNDISHIA, TUTAPIGWA GOLI KIMATAIFA+video

 Mbunge wa Moshi Vijijini, Profesa Patrick Ndakidemi akitoa maoni yake katika mkutano wa wabunge kutoa maoni kuhusu maboresho ya sera na mitaala nchini, ameshauri kuwa tusiache kabisa lugha ya kiingereza kufundishia, ama sivyo tutapigwa goli katika medani ya kimataifa.

Aidha, akiendelea kutoa maoni hayo katika mkutano ulioandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia katika Ukumbi wa Msekwa, Bungeni Dodoma Mei 7, 2022, ameshauri kuwa katika maboresho hayo yaongozwe masomo ya ujasiriamali na ubunifu ili kumuandaa mwanafunzi kujiajiri.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Prof. Ndakidemi akitoa maoni yake hayo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA