PROF. NDAKIDEMI: TUKIACHA KABISA KINGEREZA KUFUNDISHIA, TUTAPIGWA GOLI KIMATAIFA+video

 Mbunge wa Moshi Vijijini, Profesa Patrick Ndakidemi akitoa maoni yake katika mkutano wa wabunge kutoa maoni kuhusu maboresho ya sera na mitaala nchini, ameshauri kuwa tusiache kabisa lugha ya kiingereza kufundishia, ama sivyo tutapigwa goli katika medani ya kimataifa.

Aidha, akiendelea kutoa maoni hayo katika mkutano ulioandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia katika Ukumbi wa Msekwa, Bungeni Dodoma Mei 7, 2022, ameshauri kuwa katika maboresho hayo yaongozwe masomo ya ujasiriamali na ubunifu ili kumuandaa mwanafunzi kujiajiri.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Prof. Ndakidemi akitoa maoni yake hayo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...