WAKURUGENZI SIMBA WAMALIZA TOFAUTI ZAO, WAAHIDI MAZURI MSIMBAZI

  


PICHANI ni Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC baada ya kikao maalum cha kuzungumza na kumaliza tofauti zao ambacho kimekwenda vizuri na wameahidi mambo mazuri yanakuja Msimbazi.
Kutoka kulia ni Jerry Yambi, Adam Mgoyi, Mohamed Nassor, Kassim Dewji, Salum Abdallah, Muslah Ruwayh na Crescentius Magori.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA