P W D L GF GA GD Pts Yanga SC 12 4 5 3 14 15 -1 12 Simba SC 12 3 5 4 15 14 1 9 Kiungo wa Simba SC, Mwinyi Kazimoto akimtoka kiungo wa Yanga SC, Thabani Kamusoko timu hizo zilipokutana mara ya mwisho APRILI 18, 2010 Simba Vs Yanga 4-3 WAFUNGAJI: SIMBA: Uhuru Suleiman dk 3, Mussa Mgosi dk 53 na 74, Hillary Echesa dk 90+ YANGA: Athumani Iddi dk 30, Jerry Tegete dk 69 na 89 OKTOBA 16, 2010: Yanga Vs Simba 1-0 MFUNGAJI: Jerry Tegete dk 70 MACHI 5, 2011 Simba Vs Yanga 1-1 WAFUNGAJI: YANGA: Stefano Mwasyika (penalti) dk 59. SIMBA: Mussa Mgosi dk 73. (Refa Orden Mbaga alizua tafrani uwanjani, kwanza kwa kulikataa bao la kusawazisha la Simba, kisha akalikubali baada ya kujadiliana na msaidia wake namba moja) OKTOBA 29, 2011 Yanga 1-0 Simba MFUNGAJI: Davies Mwape dakika ya 75 MEI 6, 2012 Simba 5-0 Yanga SC WAFUNGAJI: Emmanuel Okwi (dk 2 na 62), Felix Sunzu (penalti 56), Juma Kaseja (penalti dk 67) na Patrick Mafisango (penalti
Comments