MAKAMU WA RAIS, DKT MPANGO AZINDUA MITAMBO YA KISASA YA UCHORONGAJI YA STAMICO

 


Makamu wa Rais, Dkt Philip Mpango akikata utepe kuzindua mitambo ya kuchoronga miamba ya madini iliyonunuliwa na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) katika hafla wakati wa  maadhimisho ya miaka 50 ya shirika hilo kwenye viwanja vya Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma Agosti 12, 2022.
Dkt Mapngo akijadiliana jambo na Waziri wa Madini, Doto Biteko.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO, Dkt Venance Mwasse akielezea kuhusu ununuzi wa mitambo hiyo.





 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*