MAKAMU WA RAIS, DKT MPANGO AZINDUA MITAMBO YA KISASA YA UCHORONGAJI YA STAMICO

 


Makamu wa Rais, Dkt Philip Mpango akikata utepe kuzindua mitambo ya kuchoronga miamba ya madini iliyonunuliwa na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) katika hafla wakati wa  maadhimisho ya miaka 50 ya shirika hilo kwenye viwanja vya Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma Agosti 12, 2022.
Dkt Mapngo akijadiliana jambo na Waziri wa Madini, Doto Biteko.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO, Dkt Venance Mwasse akielezea kuhusu ununuzi wa mitambo hiyo.





 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

'MAREKANI IKIJARIBU KUANZISHA VITA NA URUSI ITAANGAMIA'

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA