MAKAMU WA RAIS, DKT MPANGO AZINDUA MITAMBO YA KISASA YA UCHORONGAJI YA STAMICO

 


Makamu wa Rais, Dkt Philip Mpango akikata utepe kuzindua mitambo ya kuchoronga miamba ya madini iliyonunuliwa na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) katika hafla wakati wa  maadhimisho ya miaka 50 ya shirika hilo kwenye viwanja vya Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma Agosti 12, 2022.
Dkt Mapngo akijadiliana jambo na Waziri wa Madini, Doto Biteko.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO, Dkt Venance Mwasse akielezea kuhusu ununuzi wa mitambo hiyo.





 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.

MATUKIO RAIS, AMIRI JESHI MKUU DKT. SAMIA AKIZINDUA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA (MMUT)