RC MTAKA: KARIBUNI NJOMBE MWANDAE PENSHENI ZENU KWA KUPANDA MITI, PARACHICHI


Mkuu mpya wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka (kulia) amewakaribisha viongozi wa Mkoa wa Dodoma kwenda Njombe kuandaa pensheni zao kwa kupanda miti na mipachichi. Ametoa ukaribisho huo alipokuwa akimkabidhi ofisi Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule Agosti 4, 2022 jijini Dodoma.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mtaka akitoa ukaribisho huo....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.