RC MTAKA: KARIBUNI NJOMBE MWANDAE PENSHENI ZENU KWA KUPANDA MITI, PARACHICHI


Mkuu mpya wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka (kulia) amewakaribisha viongozi wa Mkoa wa Dodoma kwenda Njombe kuandaa pensheni zao kwa kupanda miti na mipachichi. Ametoa ukaribisho huo alipokuwa akimkabidhi ofisi Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule Agosti 4, 2022 jijini Dodoma.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mtaka akitoa ukaribisho huo....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

RC KIHONGOSI AELEZA MAFANIKIO LUKUKI MKOA ARUSHA