RC MTAKA: KARIBUNI NJOMBE MWANDAE PENSHENI ZENU KWA KUPANDA MITI, PARACHICHI


Mkuu mpya wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka (kulia) amewakaribisha viongozi wa Mkoa wa Dodoma kwenda Njombe kuandaa pensheni zao kwa kupanda miti na mipachichi. Ametoa ukaribisho huo alipokuwa akimkabidhi ofisi Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule Agosti 4, 2022 jijini Dodoma.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mtaka akitoa ukaribisho huo....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA