RC MTAKA: KARIBUNI NJOMBE MWANDAE PENSHENI ZENU KWA KUPANDA MITI, PARACHICHI


Mkuu mpya wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka (kulia) amewakaribisha viongozi wa Mkoa wa Dodoma kwenda Njombe kuandaa pensheni zao kwa kupanda miti na mipachichi. Ametoa ukaribisho huo alipokuwa akimkabidhi ofisi Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule Agosti 4, 2022 jijini Dodoma.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mtaka akitoa ukaribisho huo....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

WANAJESHI WAGOMA KWENDA IRAN KUPIGA