RC SENYAMULE ATAMANII DODOMA IWE NA MUONEKANO WA KIMATAIFA+video

 

Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amekutana na Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Dodoma kwa lengo la kujitambulisha leo Agosti 10,2022 ambapo ameomba kushirikiana kuijenga Dodoma yenye muonekano wa Kimataifa kutokana na kuwa ni Makao Makuu ya Nchi.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Godwin Nkanwa akitoa neno la kumkaribisha RC Senyamule na kuahidi CCM mkoa itampatia ushirikiano wa kutosha kuijenga Dodoma.
Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM ya Mkoa wakisikiliza kwa makini wakati RC Senyamule akizungumza nao.


PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, RC Senyamule na viongozi wa CCM Mkoa wa Dodoma wakizungumza...

 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

JESHI LA POLISI LATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA, LAONDOA KIZUIZI CHA KUTOTOKA NJE BAADA YA SAA 12 JIONI