GST KUTUMIA NDEGE KUTAFITI MADINI NCHINI

Kaimu Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti Tanzania (GST), Notka Banteze  akizungumza na waandishi wa habari, kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO, Dodoma, kuhusu mafanikio na mwelekeo wa ofisi hiyo ndani ya miaka minne ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita.

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari MAELEZO, Rodney Thadeus akitoa neno la shukrani kwa viongozi wa GST na waandishi wa habari  alipokuwa  akihitimisha mkutano huo.
Wanahabari wakiwa katika mkutano huo.


 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU
 KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA

SERIKALI YALIKUBALI OMBI LA DIAMOND

HOSPITALI YA MUHIMBILI YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUZIBA MAPENGO

MWANAMKE ALIYEVUNJA REKODI KWA KUZAA WATOTO 69

ARAJIGA AULA KOMBE LA DUNIA

BODI YA LIGI YAKIRI MAKOSA, WAIOMBA YANGA WAYAMALIZE