TANESCO KUANZISHA MKOA WA UMEME WA SGR

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo - Hanga akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio na mwelekeo wa shirika hilo katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita leo Machi 26, 2025, katika Ofisi za Idara ya Habari - MAELEZO, jijini Dodoma. Pamoja na mambo mengine, Nyamo-Hanga amesema kuwa Tanesco wamo mbioni kuanzisha Mkoa maalumu wa SGR utakaokuwa na watendaji ambao kazi yao ya kila siku ni kuhudumia masuala ya umeme katika treni za SGR kwa lengo la kuhakikisha umeme huo unakuwa wa uhakika na madhubuti.

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari - MAELEZO, Zamaradi Kawawa akitoa neno la shukrani kwa uobgozi wa TANESCO na waandishi wa habari alipokuwa akihitimisha mkutano huo.

Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo.

Zamaradi Kawawa akimpongeza Nymo-Hanga baada ya mkutano huo kumalizika.
Zamaradi akimsindikiza Nyamo-Hanga.
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU
 KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA

RAIS TRUMP ARARUANA NA RAIS WA UKRAINE

SERIKALI YALIKUBALI OMBI LA DIAMOND

MWANAMKE ALIYEVUNJA REKODI KWA KUZAA WATOTO 69

HOSPITALI YA MUHIMBILI YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUZIBA MAPENGO

ARAJIGA AULA KOMBE LA DUNIA

BODI YA LIGI YAKIRI MAKOSA, WAIOMBA YANGA WAYAMALIZE