DKT. SAMIA AKUBALI OMBI LA KUJENGA BANDARI YA MIFUGO PANGANI

 



MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amelikubali kulifanyia Kazi ombi kuanzisha bandari ya mifugo katika ufukwe wa Bahari ya Hindi Wilayani Pangani, mkoani Tanga.


Ombi Hilo lilitolewa kwa niaba ya wananchi na Mgombea ubunge wa jimbo la Pangani, Jumaa Awesu wakati wa mkutano wa Kampeni za CCM Pangani Mjini Septemba 29, 2025.


Aidha, Dkt. Samia amelikubali pia ombi lingine la Awesu la kununua boti kwa ajili ya kusafirisha abiria wilayani humo na miji mingine.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

LEO NI LEO KAMPENI ZA DKT. SAMIA SONGWE

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-