DKT. SAMIA AAGIZA SHAMBA LA BASOTU LIGAWIWE KWA WANANCHI HANANG

 


MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Jamhuri wa Tanzania, kupitia Chama Cha Cha Mapinduzi CCM Rais Dkt Samia Suluhu Hassanameagiza shamba la Basotu lililopo wilayani Hanang mkoani Manyara ligawiwe kwa wananchi kwa gharama nafuu na kwa uwazi.


Ametoa maagizo hayo katika mkutano wa kampeni za CCM kwenye viwanja vya Sabasaba Katesh, Hanang Mkoa wa Manyara Oktoba 3, 2025.


Ameitaka Halmashauri ya Hanang na madiwani kuweka utaratibu mzuri wa kuligawa shamba hilo kwa wananchi kwa gharama nafuu na kwa uwazi ili kuepusha  upendeleo na  vishoka wanaopandisha bei kwa manufaa yao.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM