OLE WAKE MTUMISHI ATAKAENDEKEZA 'KUCHEZEA' SIMU OFISINI

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete ametoa agizo kwa Watumishi wa umma kuacha Tabia ya kuchati kwa Simu wakati wa kazi na kwamba atakayebainika atachukuliwa hatua za kinidhamu.

Ametoa agizo hilo katika mkutano na vyombo vya habari jijini Dodoma Januari 30, 2926 alipokuwa akielezea mafanikio ya Utekelezaji wa ahadiI za Rais Samia Suluhu Hassan katika muda wa siku 100 tangu aapishwe kushika uongozi wa Nchi Novemba  3, 2025.








 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

'MAREKANI IKIJARIBU KUANZISHA VITA NA URUSI ITAANGAMIA'

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025