SHINDANO LA KULA WALI MAHARAGE LATIA FORA AZANIA BUNGE BONANZA

Mashabiki wa Vilabu vya Yanga na Simba miongoni mwao wakiwemo wabunge wakishindana kula wali na maharage wakati wa Azania Bank  Bunge Bonanza  2026 leo Januari 31, kwenye viwanja vya Shule ya John Merlini eneo la Miyuji jijini Dodoma .

Katika Bonanza hilo ambalo mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ta Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Mchemba lilishiikisha michezo ya aina mbalimbali ikiwemo kuvuta kamba, kurusha tufe, kufukuza kuku, kuvuta kamba, kunywa soda, soka, netiboli, wavu na basketi.










 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

'MAREKANI IKIJARIBU KUANZISHA VITA NA URUSI ITAANGAMIA'

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025