Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika akiwa katika matukio mbalimbali bungeni Dodoma alipohudhuria mkutano wa pili Bunge la 13 mwaka huu wa 2026.
Mwanyika pia ni Mwenyeki wa Bunge na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo.
Mwanyika ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bunge, akiongoza moja ya vikao vya Bunge.
Mwanyika akiwa na baadhi ya wabunge kwenye viwanja vya Bunge.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203






Comments