MWAMENGO AKOSHWA NA RAIS SAMIA, AOMBA MABWAWA YAJENGWE KUEPUSHA MAFURIKO KYELA


 Mbunge wa Kyela, Baraka Ulimboka Mwamengo akitoa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuijali Kyela kwa kuipatia miradi mbalimbali ya maendeleo, hata hivyo ameiomba serikali kujenga mabwawa yatakayosaidia kuepusha mafuriko lakini pia kutumika katika umwagiliaji wa mashamba jimboni humo.

Ametoa pongezi hizo bungeni Dodoma Januari 30, 2026 alipokuwa akichangia mjadala wa hotuba ya Rais Samia aliyoitoa wakati wa ufunguzi wa Bunge la 13 Novemba 14, 2025 bungeni Dodoma.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

'MAREKANI IKIJARIBU KUANZISHA VITA NA URUSI ITAANGAMIA'

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

MAREKANI YAITEKA MELI YA MAFUTA YA URUSI IKITOKEA VENEZUERA