CHATANDA ATEKELEZA AHADI, AKABIDHI VIFAA NA FEDHA GEREZA WILAYA KOROGWE

Mwenyekiti wa Taifa, Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC), ametimiza ahadi yake kwa Gereza la Wilaya Korogwe kwa kukabidhi vifaa na fedha taslimu vyenye lengo la kuimarisha ustawi na ujasiriamali leo Wilayani Korogwe, Machi 05, 2026.

Vifaa vilivyokabidhiwa ni pamoja na:
TV 1 kwa ajili ya gereza.
Vyerehani 2 vya kisasa.
Kiasi cha Shilingi Milioni 2 kwa ajili ya Kikundi cha Askari Magereza Wanawake kuanzisha mradi wa Bustani.

Hatua hii ni sehemu ya kuendeleza juhudi za kuwawezesha wanawake kiuchumi na kuboresha mazingira ya kazi na huduma gerezani.

"Uwezeshaji wa Wanawake ni kichocheo cha maendeleo ya jamii nzima."












 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.