FATMA REMBO, KUNAMBI WAWAPA TAABASAMU WENYE UHITAJI IRINGA

 Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Iringa, Mhandisi Fatma Rembo, Machi 8, 2026, ameadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kufanya matendo ya huruma . Aidha Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Taifa, Suzan Peter Kunambi (MNEC) alishiriki katika shughuli hii iliyoandaliwa na  Mbunge. 


Walitembelea Wodi ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya Mkoa wa Iringa pamoja na vituo vya watoto yatima, ikiwemo Kituo cha Faraja kilichopo Kata ya Nduli na Kituo cha Dar-Bilaal-Dar-Fatma kilichopo Kata ya Ilala, ambapo walikabidhi mahitaji mbalimbali kama sehemu ya kuonesha upendo na mshikamano kwa wahitaji hao.
























 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.