ISRAEL YAAPA KUMSHAMBULIA KILA ATAKAYETEULIWA KUMRITHI AYATOLLAH KHAMENEI

Jeshi la Israel limetoa onyo kwa Iran kwamba litaendelea kumsaka kila mrithi wa kiongozi mkuu wa nchi hiyo aliyefariki, Ayatollah Ali Khamenei.

Katika chapisho kwenye X, akaunti ya lugha ya Kiajemi ya IDF ilisema: "Bunge la Wataalamu la Iran, ambalo halijakutana kwa miongo kadhaa, litakusanyika hivi karibuni katika jiji la Qom.

"Tunataka kuwaambia kwamba mkono wa Taifa la Israeli utaendelea kumfuatilia kila mrithi na kila mtu anayetaka kumteua mrithi.

"Tunawaonya wale wote wanaokusudia kushiriki katika mkutano wa uteuzi wa mrithi kwamba hatutasita kuwalenga nyinyi pia. Hili ni onyo!"



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.