PROF.MAHALU AAGA DUNIA

🔴T A N Z I A 

Profesa wa Sheria , Mwanafalsafa na Mwanadiplomasia Maarufu, Profesa Costa Ricky Mahalu amefariki Dunia leo Machi 9, 2026 katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete jijini Dar es Salaam akiwa na umri wa miaka 77.

Profesa Mahalu ambaye alizaliwa Julai 9, 1948, katika Kijiji cha Katunguru, wilayani Sengerema, Mkoa wa Mwanza alikuwa msomi mahiri, mwalimu mchapaji kazi, na mwanadiplomasia mwenye uzoefu, aliyesaidia Tanzania kukuza elimu ya sheria na kuimarisha uwakilishi wake kimataifa.



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.