TUZO YA HESHIMA KUTOKA KWA WANAWAKE WA UBUNGO


 
Katika kuelekea kilele cha Siku ya Wanawake Duniani, nimeguswa sana kupokea Tuzo ya Heshima kutoka kwa wanawake wenzangu wa Ubungo. Tuzo hii si yangu pekee, bali ni ishara ya juhudi za pamoja tunazozifanya katika kuimarisha nafasi ya mwanamke katika jamii na uchumi wa nchi yetu.

Nilipata heshima ya kipekee ya kufungua Kongamano la 'Wanawake Nguvu ya Jamii' lililoandaliwa na UWT Wilaya ya Ubungo katika Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC), Ubungo Machi 06, 2026.

Nawashukuru sana UWT Wilaya ya Ubungo kwa maandalizi haya na kwa heshima hii kubwa. Tuendelee kuwa nguvu ya mabadiliko! 




 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.