Posts

KILICHOSABABISHA YANGA KUTOSHIRIKI KOMBE LA MUUNGANO...

  Klabu ya Yanga SC haitashiriki michuano ya Kombe la Muungano mwaka huu kwa sababu ya ratiba klabu hiyo kuwabana sana tofauti na klabu nyingine kubwa za Simba SC na klabu ya Azam FC. Klabu ya Yanga SC ina Kombe la Shirikisho (FA Cup) na Ligi Kuu, wakati huo klabu ya Azam FC ina FA Cup na Ligi Kuu lakini tayari yupo mbele kwa michezo miwili (2) ya Ligi Kuu, huku klabu ya Simba SC ikiwa imesalia na Ligi Kuu pekee na haina FA Cup bila kusahau uwezekano wake wa kushinda ubingwa msimu huu kuwa mdogo mno. Klabu ya Simba SC ina michezo (21) ya Ligi Kuu haina FA Cup, klabu ya Yanga SC ina michezo (22) ya Ligi Kuu na FA Cup, klabu ya Azam FC ina michezo (24) ya Ligi Kuu na ina FA Cup. Kwa maana hiyo changamoto ni ratiba kuwa ngumu mno kwa klabu ya Wananchi ndio maana hawatoshiriki mwaka huu na sio vinginevyo. - klabu zitazoshiriki kombe la Muungano msimu huu ni : 1. Simba SC (Tanzania Bara) 2. Azam FC (Tanzania Bara) 3. KVZ FC (Zanzibar) 4. KMKM (Zanzibar) - Ratiba ya michuano hiyo  * KVZ FC V

MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMAAA...

|KINACHO IMALIZA SIMBA NI KUMPOTEZA HANS POPEE

SHEREHE ZA MUUNGANO: VIONGOZI WA WILAYA WAPANDA MICHE YA MITI NA KUFANYA USAFI KIJIJINI KIGERA

BENKI YA CRDB YAKABIDHI MADARASA YA SEKONDARI KILOLO

AGENDA YA KUTOKOMEZA MALARIA IWE YA KUDUMU KATIKA VIKAO VYA MAAMUZI

RAIS SAMIA AKIWA KWENYE SHEREHE ZA MIAKA 60 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

MANJI: SIWEZI KURUDI TENA YANGA SC

MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMAAA....

MBUNGE NYOKA: KAMILISHENI JENGO LA MAMA, MTOTO NA UPASUAJI LIJENGWE MKONGO GULIONI

MWANYIKA ASHAURI MAKUBWA BAJETI WIZARA YA NISHATI

RAIS SAMIA AIPA TANROADS BIL 66.

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

𝙂𝘼𝙈𝙊𝙉𝘿𝙄 𝙆𝘼𝘾𝙃𝙀𝙕𝘼 𝙆𝙄𝘽𝙄𝙉𝙂𝙒𝘼.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI