Posts

HIZI HAPA SILAHA MPYA 3 HATARI NDANI YA YANGA SC 🔰🔰🔰

Yanga SC tayari wamekamilisha usajili kwa wachezaji 3 wa kigeni, Na wachezaji hao ni  🌟 Celestine ECUA  Huyu ni mshambuliaji hatari mwenye uwezo mkubwa nguvu speed na njaa ya kufunga magoli,ni mshambuliaji anaetumia miguu yote kufunga magoli, (left shooter and right shooter) 🌟 Doumbia  Huyu ni kiungo mshambuliaji, mnyumbulifu na mwenye ball control ya utulivu miguuni mwake, ni mzuri sana akicheza namba 10 uwanjani, 🌟 Conte  Huyu ni kiungo mkabaji mtaalamu sana wa kukata umeme, ana mapafu ya mbwa, ana nguvu, speed na energy kubwa, ni mtaalamu pia wa kupiga zile diagno pass ni mtu makini sana kwenye eneo lake, marking yake ni ya hali ya juu, Kwa ongezeko la hawa wachezaji kwenye kikosi cha Yanga SC, Yanga SC wameongeza nguvu kubwa sana kwenye kikosi chao na msimu ujao tarajia kuiona yanga sc mpya kabisa. 🙌🙌🙌  

SH. BIL. 426 . 3 ZATEKELEZA MIRADI YA MAJI MKOA WA MARA

RAIS SAMIA APELEKA MAFANIKIO LUKUKI SIMIYU

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...

MBOWE APIGA PICHA NA RAIS SAMIA ALIPOHUDHURIA UZINDUZI WA DIRA YA TAIFA 2050

VIONGOZI WA BENKI YA NMB WAHUDHURIA UZINDUZI WA DIRA YA TAIFA 2050

MATUKIO RAIS SAMIA AKIZINDUA DIRA YA TAIFA 2050

WATENDAJI WA UCHAGUZI WAKUMBUSHWA KUSHIRIKIANA NA WANAHABARI

BENKI YA NMB NA OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI ZAIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA UTOAJI WA HUDUMA KWA WATEJA

MISS WORLD NA MISS AFRICA WATEMBELEA WODI YA NJITI PAMOJA NA DORIS MOLLEL FOUNDATION

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.