Posts

WAGOMBEA UDPD WACHUKUA FOMU ZA URAIS INEC, KIPAUMBELE CHAO NI ARDHI

Wateule wa Chama Cha UPDP wakitoka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Njedengwa Dodoma, Agosti 10, 2025 baada ya kuchukua fomu za kuomba uteuzi wa kugombea urais na umakamu wa Rais Tanzania. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha United People's Democratic Party (UPDP), Mhe. Twalib Ibrahim Kadege. Kadege  aliambatana na Mgombea Mwenza, Mhe.  Abdalla Mohamed Khamisi (kushoto) wakati wa kuchukua fomu hizo leo Agosti 10, 2025. Wagombea wengine waliochukua fomu leo ni kutoka vyama vya; MAKINI ambacho wagombea wake ni  Coster Jimmy Kibonde. na Mgombea Mwenza, Aziza Haji Suleiman,    National League for Democracy (NLD),    Doyo Hassan Doyo na Mgombea Mwenza,  Chausiku Khatib Mohamed  na United Peoples Democratic Party (UPDP), ...

CHATANDA AUNGANA NA RAIS KUAGA MWILI WA HAYATI NDUGAI

RAIS SAMIA AIFARIJI FAMILIA YA HAYATI NDUGAI

WENGI WAJITOKEZA BUNGENI KUAGA MWILI WA HAYATI NDUGAI

MWANDISHI WA HABARI DOYO WA NLD ATINGA NA BAJAJI KUCHUKUA FOMU ZA URAIS INEC

COASTER KIBONDE WA CHAMA CHA MAKINI ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS

WAWANIA URAIS NRA, AFFP WACHUKUA FOMU INEC

DKT SAMIA, DKT. NCHIMBI WACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS, UMAKAMU WA RAIS

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...