Posts

ZAIDI YA WANAFUNZI 276, 000 WANUFAIKA NA MIKOPO YA ELIMU YA JUU

SERIKALI imeongeza kwa kiasi kikubwa mikopo ya elimu ya juu, ambapo ndani ya mwaka huu wa fedha 2025/2026, wanafunzi 276,032 wamenufaika na mikopo kupitia Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 899. Ongezeko hilo limetangazwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia,Prof.Adolf Mkenda,alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo Januari 31,2026 katika Mji wa Kiserikali Mtumba Makao Makuu ya Nchi Dodoma kuhusu utekelezaji wa ahadi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan katika siku 100 za  uongozi wake wa Awamu ya Sita. Aidha, kupitia Samia Scholarship, Serikali imetoa ufadhili kwa wanufaika 3,137 ndani na nje ya nchi katika fani za sayansi, teknolojia, uhandisi, hisabati, tiba na TEHAMA, ikiwa ni pamoja na sayansi ya data na akili unde (AI). "Serikali ya Awamu ya Sita pia imekamilisha ujenzi wa shule 26 maalum za sayansi kwa wasichana na shule 5 za vipaji kwa wavulana, huku nyingine zikiwa katika hatua mbali...

SHINDANO LA KULA WALI MAHARAGE LATIA FORA AZANIA BUNGE BONANZA

OLE WAKE MTUMISHI ATAKAENDEKEZA 'KUCHEZEA' SIMU OFISINI

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JANUARI 31, 2026

HIKI HAPA KIKOSI CHA YOUNG AFRICANS SC KUMALIZIA MSIMU 2025/2026

MAGARI YA HUDUMA YA NMB YAFIKIA 15 YAKICHOCHEA UJUMUISHAJI WA KIFEDHA

MASHABIKI SIMBA, YANGA WATAMBIANA AZANIA BUNGE BONANZA

HONGERA RAIS SAMIA UMEFANYA MAKUBWA JIMBO LA ILEMELA - MBUNGE KAFITI

MWANYIKA AZIDI KUWAPIGANIA WAKULIMA WA. PARACHICHI NJOMBE

WAZIRI AWESO AELEZA MAFANIKIO MAKUBWA SEKTA YA MAJI AWAMU YA RAIS SAMIA

MIKOPO YA ELIMU YA JUU HUTOLEWA BILA KUJALI MWANAFUNZI KATOKA SHULE ZA SERIKALI AU BINAFSI - WANU

BENKI YA NMB YAZINDUA AGENDA 2030,YAVUNA FAIDA YA SH.TRILIONI 1.1 MKAKATI ULIOPITA (MTP 2025)

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

'MAREKANI IKIJARIBU KUANZISHA VITA NA URUSI ITAANGAMIA'

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025