Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT) imetoa sh. mil. 10. 4 kwa Taasisi ya Habari Conservation Organization (HCO) za kusadia upandaji miti 1000 katika eneo la Ndejengwa jijini Dodoma Katika tukio hilo lililofanyika sanjari na upandaji wa miti hiyo uliofanywa na Mgeni Rasmi, Naibu Meya wa Jiji la Dodoma, Bakari Fundikira, Mkurugenzi Mkuu wa GBT, James Mbalwe, viongozi mbalimbali pamoja na wananchi jirani na mradi huo. Naibu Meya, Fundikira ameishukuru GBT kwa udhamini huo na kuipongeza HCO kwa kuendelea na jitihahada za kupanda miti katika eneo hilo na kwamba watashirikiana nao kufanikisha lengo hilo la kuijakinisha Dodoma. Mkurugenzi Mkuu wa GBT, James Mbalwe akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh. mil. 10.4 kwa uongozi wa HCO. Naibu Meya wa Jiji la Dodoma, Bakari Fundikira (kushoto) akiangalia moja ya mabomba yanayotumika kumwagilia miti. Naibu Meya wa Jiji la Dodoma, Bakari Fundikira akipanda mti. Viongozi wa HCO wakimwagilia maji mti. Kulia ni Mwenyek...
- Get link
- X
- Other Apps