- Get link
- X
- Other Apps
Posts
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...
USAFIRI WA SGR DAR-DODOMA WASITISHWA
MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA
Mapacha watatu wa familia ya Richard Mwaikenda wamebarikiwa kwa kupata Kipaimara katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kivule, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam Desemba 14, 2025.Watoto hao ni Catherine, Caren na Loveness. Zaidi ya watoto 40 walipata ubarikio huo ulioongozwa na Mchungaji Frank Kimambo ambaye pia Mkuu wa Jimbo la Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Jimbo la Kati. Baada ya kufanikisha ibada hiyo ya ubarikio, Mchungaji Kimambo aliendesha sala fupi ya kubariki kiwanja kilichoteuliwa kanisani hapo kwa ajili ya ujenzi wa jengo la Shule ya Watoto (Sunday School). Mwaikenda (aliyevaa kaunda suti ya bluu) akiwa na mapacha hao pamoja na ndugu, jamaa na marafiki. Catherine. Caren. Loveness. Catherine (Kulwa) akiwa na mdogo wake Lusajo akiiongoza familia kutoka nje ya kanisa. Mchungaji Frank Kimambo akiendesha sala wakati wa kulibariki eneo patakapojengwa jengo la watoto kanisani hapo. VETI VYAO
MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo ya mikoa 20 nchini. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TMA, leo Jumamosi 27 Desemba 2025 imetaja mikoa hiyo kuwa ni Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Kigoma, Katavi, Singida, Dodoma, Rukwa, Songwe, Mbeya, Iringa, Njombe, Morogoro, Ruvuma, Tanga, Dar es Salaam, Lindi, Mtwara na Pwani ikijumuisha visiwa vya Mafia. TMA imesema mvua hizo zinatarajiwa kunyesha Jumapili, 28 Desemba 2025, na huenda zikasababisha madhara mbalimbali ikiwamo mafuriko, maporomoko ya udongo na usumbufu wa shughuli za kiuchumi na kijamii. Wananchi wanaoishi katika maeneo yaliyotajwa, hususan walioko mabondeni na maeneo hatarishi, wametakiwa kuchukua tahadhari za mapema ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza kutokana na mvua hizo. TMA imewasisitiza wananchi kuendelea kufuatilia taarifa na utabiri wa hali ya hewa unaotolewa mara kwa mara ili kupata taarifa sahihi na za wakati.
AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.
1 : Wanawake Wazuri Zaidi 📌Inahitaji roho takatifu tu kumfanya mwanamke mrembo awe ndani ya ndoa.Unaitaji Roho ya Samason katika eneo hili,Maana Mwanamke akiwa mzuri sana akili zake zinahamia kwenye uzuri wake,Anaamini atakuwa mzuri milele,Anaamini ya kwamba Yeye ni dhahabu nyinyi wengine viroboti,Huye acheki na wowote maana utaumiza wake moyo /Wanatafuta mwana mwenye pesa ili waendelee kuhudumia mwili wao,Mwanamke mzuri hawezi kuwa na mapenzi ya kweli labda kidogo sana kama amelelewa na kufunzwa vyema lakini Anaamini ya kwamba anapendwa na kila mtu na Wanawake Wazuri ukimkuta ana akili za kujitegemea basi unabahati Sana,Wanawake Wazuri huwa hawanaga akili timamu na ndiyo wanaongoza kwa kutumika sana,Wanachoka mapema maana wameugeuza mwili wao kuwa shamba La Marehemu,Kwa nje kapendeza lakini ndani ametumika balaa tupu wanapambana kutafuta mwanaume mwenye na ndivyo wanavyotumika maana Wanaume pia hawaoagi Wanawake Wazuri Ila Wanaume wanawapenda Wanawake Wazuri kwa matumizi tu lakini si...
MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA
MKIFANIKIWA KUIPATIA NCHI KATIBA NZURI, MAJINA YENU YATAANDIKWA KWA WINO WA DHAHABI- DKT. KIKWETE
MA- MC, DJ WATAKIWA KUJISAJILI HARAKA BASATA, KULIPA 50,000
KIPA WA TAIFA STARS MASALANGA AMEPEWA ZAWADI NA WAMOROCCO.
IJUE HISTORIA YA MCHEZAJI MZUNGU WA TANZANIA
✍️ Tarryn Allarakhia ni mchezaji aliye zaliwa 1997 katika kijii cha redbridge kule london uingereza Mzazi wake ana uraia wa Tanzania wa kurithi ingawa mama yake ni mzaliwa wa uingereza ✍️ alikuwa na uraia wa aina mbili yaani uingereza na Tanzania yeye alichagua Tanzania kwa sababu asili ya baba yake alikuwa na uraia wa kurithi Tz Pia amecheza kwenye vilabu vya mitaani ns mikoa pale uingereza kama ifuatavyo ✍️. 2015 - 2016 Avely ✍️ 2016 - 2017 Maldon ✍️ 2018. - 2021 Crawely town ✍️ 2019 - Meldon stone kwa mkopo ✍️. 2021 - 2022 Woking ✍️ 2022. - 2024 Rochdale miaka miwili Jumla amefunga mabao 17 kwa miaka yote aliyo cheza kwenye timu hizo zote Baada ya kuona Nafasi ya kucheza timu za taifa ni ndogo hasa kwa uingereza ukiwa vitimu vya chini aliona kheri achague Tanzania atapata nafasi #sh...