Posts

KIONGOZI MKUU WA IRAN KHAMENEI 'AUAWA'

KIONGOZI Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei inadaiwa ameuawa kwenye shambulio lililotekelezwa kwa ushirikiano wa Israel na Amerika, vyanzo katika serikali ya Israel vimeambia mashirika makuu ya habari. Kulingana na vyanzo hivyo ambavyo vilizungumza na shirika la habari la kimataifa la Reuters na CNN, Mkuu huyo ambaye pia ndiye kiongozi wa kidini aliuawa wakati uvamizi ulipofanywa ukimlenga yeye binafsi na Rais Masoud Pezeshkian. Hatima ya Rais Pezeshkian bado haijatambulika kufikia wakati wa kuandika taarifa hii. Awali, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alikuwa amedokeza uwezekano wa Ayatollah kuwa alifariki, pale aliposema “kuna dalili nyingi kwamba hayupo nasi” bila kueleza wazi wazi iwapo mkuu huyo aliuawa au la. Khamenei aliongoza taifa hilo na kuongeza uwezo wa kijeshi ikiwemo kuwa na juhudi za kujipatia zana za kinyuklia, jambo lililokera pakubwa Amerika na washirika wake na kuitaja Iran kuwa adui wake nambari moja. Awali, katika hotuba aliyotundika katika mtandao wake wa...

MWAMUZI ATAKAYETHUBUTU KUHARIBU DABI KUFUNGIWA, KUSHITAKIWA - KARIA

*WAZIRI MKUU ASHIRIKI MAZISHI YA KARDINALI PENGO, DAR ES SALAAM

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

MAREKANI YATOA TAHADHARI ZA KIUSALAMA KWA RAIA WAKE WANAISHI QATAR

WIZARA YA AFYA YATOA TAHADHARI TISHIO LA UVIKO 19, DENGUE, INFLUENZA, KIPINDUPINDU

RAIS SAMIA ATIA SAINI KITABU CHA RAMBIRANBI KIFO CHA KARDINALI PENGO

NMB YATOA ZAIDI SH. BIL. 12 KWA WAFANYABIASHARA 6,011

MACHIMBO 12 YA KUPATA WANAWAKE BORA ZAIDI;

OGOPA KUISHI BILA KUJARIBU: VUNJA HOFU, VUNJA UKIMYA, VUNJA MIPAKA

SIKU 100 ZA RAIS SAMIA: MIUNDOMBINU NA UTALII VYAPIGA HATUA KUBWA - MSIGWA

KATIBU MKUU WA UMOJA WA MABUNGE DUNIANI (IPU) AWASILI NCHINI

AINA TOFAUTI ZA WANAUME

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

PUNGUZA STRESS....

MAJESHI YA URUSI CHINA NA IRANI YAANZA MAZOEZI YA PAMOJA DHIDI YA MAREKANI