Jimbo la Musoma Vijijini: Kata 21, Vijiji 68, Vitongoji 374 Idadi ya Shule: (i) Shule za Msingi: 120 116 za Serikali 4 za Binafsi 4 S/Shikizi zinajengwa (ii) Shule za Sekondari: 32 30 za Kata/Serikali 2 za Binafsi 14 mpya zinajengwa Uamuzi wetu: kila kijiji kiwe na sekondari yake (iii) High Schools: 3 Kasoma: masomo ya "arts" Mugango: science & arts Suguti: science & arts Ongezeko la High Schools mwakani (2027/2028): Tunaendelea na ujenzi wa miundombinu itakayokidhi uanzishwaji wa high schools mpya za masomo ya sayansi Jimboni mwetu. Lengo kuu ni kuwa na high schools za ma...
- Get link
- X
- Other Apps