Posts

DKT. NEEMA MAJULE AISHAURI RITA KUBORESHA UTOAJI WA VYETI VYA VIFO KWA YATIMA NA WAJANE.

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Neema Peter Majule, ameishauri Serikali kuboresha utendaji wa Wakala wa usajili, Ufilisi na udhamini (RITA) ili kuondoa ucheleweshaji wa utoaji wa vyeti vya vifo, hali inayowaathiri kwa kiasi kikubwa wananchi hususan yatima na wajane. Akichangia hoja wakati wa uwasilishaji wa bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria Aprili 24, 2026, Bungeni jijini Dodoma, Dkt. Majule amesema RITA ni taasisi nyeti inayogusa moja kwa moja ustawi wa jamii, hivyo kuna haja ya kuongeza ufanisi, kasi na uwajibikaji katika utoaji wa huduma zake. Ameeleza kuwa kuchelewa kupatikana kwa vyeti vya vifo kunakwamisha jitihada za yatima wanaotaka kujiendeleza kielimu pamoja na wajane wanaohitaji kukamilisha taratibu za mirathi, akisisitiza kuwa huduma hizo zinapaswa kutolewa kwa wakati ili kulinda haki za makundi hayo. Katika mchango wake, mbunge huyo pia amepongeza jitihada za Serikali kupitia kampeni ya Mama Samia Legal Aid Campaign, akisema imekuwa msaada mkubwa kwa wananchi wasi...

WAZIRI HOMERA AWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YENYE MATUMAINI

NMB ilivyosaidia Serikali kukusanya zaidi ya Sh trilioni 9.8

SERIKALI KUJENGA VIWANJA WA WATAZAMAJI 60,000 MWANZA NA MBEYA

SAFARI YA MAISHA YA PROFESA MARK MWANDOSYA

WANAOWANIA UBUNGE AFRIKA MASHARIKI WAITWA CCM

KATIBU MKUU CCM, UJUMBE MTANDAO WA VIONGOZI WANAWAKE AFRIKA WAFANYA MAZUNGUMZO

MAMBO YA BUNGENI DODOMA

NMB YATOA SH. MIL. 100 KUDHAMINI MKUTANO MKUU WA 40 WA ALAT

FEDHA ZIMESAINIWA, UJENZI MRADI WA MAJI UTAANDA LINI - KASAKA

SERIKALI YAIMARISHA UPATIKANAJI WA MAFUTA YA PETROLI NCHINI MALAWI

SERIKALI KUTENGA ENEO LA VIWANDA VYA KUONGEZA THAMANI YA MAZAO YA MISITU, PARACHICHI

KUMBUKIZI YA DARAJA LA NYERERE 2016-2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

RAIS ALİYEISHI KAMA MUNGU WAKATI WATU WAKE WAKIFA NJAA

ZIJUE TIBA ZA MMEA WA MSHONA NGUO.

CHATANDA ASHIRIKI KIKAO CHA BODI HOSPITALI YA RUFAA DODOMA