Posts

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

Kijana dereva wa bodaboda anayefahamika kwa jina la Brown Anthony ameibua gumzo kubwa miongoni mwa wananchi baada ya kufanikiwa kusafiri kutoka jijini Mbeya hadi Dar es Salaam kwa kutumia pikipiki aina ya Boxer 150 HD yenye namba ya usajili MC 473 FKT, ndani ya saa 10, safari iliyoanzia kwenye ubishani wa kawaida na kuhitimishwa kwa ushindi wa kihistoria. Ubishani huo ulianza tarehe 14 Januari 2026 kati ya Brown Anthony na bodaboda mwenzake Alex Ndile, ambapo walitofautiana kuhusu uwezekano wa kufika Dar es Salaam kwa pikipiki ndani ya muda wa masaa 13. Baada ya majadiliano makali, walikubaliana kuyaweka madai yao katika makubaliano rasmi ya kisheria. Makubaliano hayo yaliwekwa mbele ya mwanasheria Ambakisye Kibona, ambapo kila mmoja alikuwa na pikipiki yake binafsi, na pande zote zilikubaliana kuwa atakayeshindwa atalazimika kumpa mshindi pikipiki yake kama dau la makubaliano hayo. Baada ya makubaliano kukamilika, Brown Anthony alianza safari yake rasmi tarehe 15 Januari saa 11:00 asu...

NDOA ZA VIONGOZI WA AFRIKA NA WANAWAKE WEUPE: MAPENZI, SIASA NA MAPAMBANO DHIDI YA UBAGUZI

SERIKALI KUTOA ELIMU KWA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI

NMB YATUNUKIWA CHETI CHA MWAJIRI BORA TANZANIA KWA MARA NYINGINE TENA

SPIKA ZUNGU AFANYA MAZUNGUMZO NA SPIKA WA INDIA

JWTZ YA TOA MSAADA NA HUDUMA YA AFYA KWA WANANCHI MSATA

ASHINDA UBUNGE AKIWA GEREZANI UGANDA

DR. MIGIRO THE GLOBALLY RESPECTED DIPLOMATC

SPIKA ZUNGU ASALIMIANA NA WAZIRI MKUU WA INDIA NARRNDRA MODI

SPIKA ZUNGU, TULIA WAKUTANA INDIA

WENYEVITI WAPYA WA KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE HAWA HAPA

RATIBA YA YANGA KABLA YA KUKIPUTA NA AL AHLY

USAMBAZAJI UMEME NDANI YA JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

IJUE HISTORIA YA MCHEZAJI MZUNGU WA TANZANIA