Posts

KATIBU MKUU CCM AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA JUMUIYA YA MADOLA

* Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Asha-Rose Migiro, leo tarehe 15 Aprili 2026 amefanya mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Malawi, Mhe. Lazarus Chakwera, katika Ofisi za CCM Lumumba, jijini Dar es Salaam. Mazungumzo hayo yalijikita katika hali ya kisiasa nchini pamoja na matukio ya wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Mhe. Chakwera yupo nchini Tanzania kwa ziara maalum katika nafasi yake kama Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe. Shirley Ayorkor Botchwey.  Kikao hicho ni sehemu ya mashauriano yake na wadau mbalimbali wa kitaifa kwa lengo la kubadilishana mawazo kuhusu maendeleo ya kisiasa baada ya Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025, pamoja na juhudi zinazoendelea za kuimarisha amani, demokrasia na mshikamano wa kitaifa nchini Tanzania.   no

CHATANDA ASHIRIKI KIKAO CHA BODI HOSPITALI YA RUFAA DODOMA

MWALUNENGE ATAKA MBEYA IKOPESHWE FEDHA ZA KUJENGA KM 100 ZA BARABARA ZA JIJI

MWAMENGO AIOMBA SERIKALI KUUPA KIPAUMBELE MRADI WA SONGWE BASIN KUNUSURU MAFURIKO KYELA

BILA KUKAMILIKA UJENZI WA BARABARA YA ITONI-LUSITU, HAKUNA MRADI WA CHUMA WA LIGANGA - MWANYIKA

HAMASA YA UTALII WA NDANI DODOMA HAKUNA KULALA

SWALI YA KINGALAME BUNGENI LAJIBIWA NA MAWAZIRI WAWILI

SIMUOGOPI TRUMP - PAPA LEO

KATIBU MKUU MIGIRO AWASILISHA SALAAM ZA DKT. SAMIA KWA RAIS WA SAHRAWI

ONGEZEKO LA "HIGH SCHOOLS" MUSOMA VIJIJINI

MWALWIBA AMMWAGIA PONGEZI WAZIRI MKUU DKT. MCHEMBA KWA UTATUZI KERO ZA WANANCHI

MZINDAKAYA AMWAGA PONGEZI KWA RAIS, WAZIRI MKUU, ATOA KILIO CHA WANA-RUKWA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

WANAJESHI WAGOMA KWENDA IRAN KUPIGA