Posts

SEKTA BINAFSI NDIYO INJINI KUU YA UKUAJI WA UCHUMI- RAIS MWINYI

SEKTA binafsi ambayo ina nafasi ya kimkakati na ya msingi katika utekelezaji wa Dira 2050, ndiyo injini kuu ya ukuaji wa uchumi kupitia uwekezaji, uzalishaji, ubunifu na utoaji ajira nchini. Hayo yameelezwa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi alipokuwa  akifungua Mkutano wa Uhakiki wa Rasimu ya Mpango wa Pili wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji (MKUMBI II) kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam Machi 27, 2026. “Mtakumbuka kuwa Mwezi April, 2025, tulizindua Maandalizi ya Mpango wa Pili wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji (MKUMBI II) sambamba na Kamati ya Kitaifa ya Wataalamu ya kuandaa Mpango huo.” “Pamoja na mambo mengine, Kamati hiyo ilipewa majukumu ya kuhakikisha MKUMBI II unaandaliwa kwa wakati na kwa kuzingatia ushirikishwaji wa wadau wote katika uwekezaji na biashara ikiwepo sekta binafsi ambayo ina nafasi ya kimkakati na ya msingi katika utekelezaji wa Dira 2050, kwani ndiyo injini kuu ya ukuaji wa u...

RAIS SAMIA ATOA HESHIMA MWILI WA MAREHEMU LUKUVI DAR

*RAIS SAMIA MSIBANI KWA LUKUVI*

HERSI AZINDUA TAWI LA YANGA CHINA

MWILI WA MAREHEMU LUKUVI WAWASILI DAR

RAIS MWINYI AFUNGUA MPANGO WA PILI WA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI (MKUMBI II)

KISWAGA AONGOZA KIKAO CHA MAANDALIZI YA BAJETI YA WIZARA YA MAJI

💡❤️ JIFUNZE KUJIJUA.

MANENO 20 YA KUMWAMBIA MWANAMKE ILI MOYO WAKE USISIMKE

MWAKILISHI JIMBO LA CHWAKA ATOA MSAADA WA VIFAA KWA WANAFUNZI KUKUZA ELIMU

ACHA KULIA! PENGINE TATIZO SI WAO, NI WEWE UNAYEKATAA KUKUA.

SPIKA ZUNGU AONGOZA AONGOZA KIKAO CHA DHARULA CHA KAMATI YA UONGOZI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

Wasifu wa Kizza Besigye

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.

KIJANA WA KINYAKYUSA WA ENZI HIZO, NUSURA AMCHAPE WAZIRI MUONGO BUNGENI