Posts

KWANINI VURUGU ZA #D9 ZILIGONGA MWAMBA NA ZA SIKU YA CHRISTMAS HAZITAFANIKIWA!?

Changamoto za vurugu na maandamano yasiyo na mpangilio huonekana kama njia ya haraka ya kuishinikiza Serikali, lakini kwa Watanzania wengi—hasa wanaothamini amani—mwelekeo huu umeshathibitishwa kuwa ni mkakati dhaifu, usio na uhalali wa kijamii, na usiokidhi misingi ya uzalendo. Ndiyo maana vurugu za #D9 (09 Desemba, 2025) ziligonga mwamba, na ndicho kitakachofanya jaribio lolote la vurugu siku ya Christmas kushindwa vibaya. Sababu zifuatazo zinaeleza kwa kina: 1. *Kukosa Nia Njema ya “Kuandamana”* Maandamano ya kweli huongozwa na hoja halali, dhamira ya haki, na uwazi wa madai. #D9 haikuwa na madai yaliyopimwa—ilikuwa ni wito tu wa vurugu bila suluhisho. Licha ya waandaaji kujinasibu kuwa "Maandamano" hayo ni ya Amani lakini ukiingia kwenye vikao vyao vya ndani walikuwa wakipanga kufanya vurugu za kuchoma majengo muhimu ya serikali, Kuharibu miradi ya kimkakati, kuweka vizuizi kwenye mipaka yetu na hata kuwashambulia wale watakaokaa ndani. Mfano: Katika nchi nyingi za Afrika...

TANZANIA ARMY THE MOST DANGEROUS ARMY IN AFRICA 🇹🇿🇹🇿🌍

WAZIRI CHONGOLO ATAKA MIRADI YA KILIMO IMKOMBOE MKULIMA

"WHO ARE YOU" ONYO LILILOZAA MATUNDA KIUCHUMI

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATANO DESEMBA 10, 2025

WANAOENDELEA KUHAMASISHANA KUFANYA MAANDAMANO TUTWADHIBITI - JESHI LA POLISI

LEO RUKSA KUENDELEA NA KAZI

MIAKA 64 YA UHURU: TBN YASEMA AMANI KWANZA, UJENZI WA TAIFA DAIMA

HADI MUDA HUU NCHI NI SHWARI- JESHI LA POLISI

CCM YATOA ONYO KWA WANAOTUMIA JINA LA KATIBU MKUU DKT. MIGIRO KUTAPELI

TANZANIA AND U.S. MOVE TO FINALISE MAJOR INVESTMENT AGREEMENTS

TANZANIA NA MAREKANI ZASONGA MBELE KUKAMILISHA MAKUBALIANO MAKUBWA YA UWEKEZAJI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...