Posts

DIARRA AWAPIKU CAMARA, SALIM AFCON

  Golikipa wa Klabu ya Young Africans  Djigui Diarra (Mali)   ndiye golikipa pekee ambaye hakuruhusu bao lolote kwenye pumziko hili la kimataifa lililoisha jana. Mali walicheza dhidi ya Guinea Bissau  michezo miwili ambapo walipata sare tasa moja na Mchezo mmoja walishinda kwa Goli moja. Mousa Camara (Guinea) yeye alicheza michezo yote miwili na  ana aliruhusu goli moja pekee nyumbani wakati wakicheza na Timu ya taifa la Ethiopia na Guinea walishinda michezo hiyo na kukusanya alama 6. Ally Salim (Tanzania) alicheza michezo miwili dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na aliruhusu Jumla ya magoli matatu na michezo yote Tanzania ilipotezaa. NB: Hawa wote wanacheza Ligi kuu ya NBC na 19th October  watakuwa kwenye timu zao kwaajili ya mchezo wa derby ya Kariokoo.  #NestoShayoUPDATES

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO ALHAMISI OKTOBA 17, 2024

WANNE MBARONI KWA TUHUMA ZA KUMUUA MUME WA MDAIWA MIKOPO

JINSI BINTI HUYU MWANAFUNZI ANAVYOIPENDA MITI

REA YAPELEKA UMEME VITONGOJI 120 KIGOMA

WIZARA YA MADINI KUREJESHA MINADA YA NDANI NA KIMATAIFA MADINI YA VITO

PATA HABARI KEMKEM KATIKA MAGAZETI YA LEO ALHAMIS OKTOBA 17, 2024

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAMBO YANAYOUA NDOA NA MAHUSIANO

RAIS SAMIA ANA KWA ANA NA ZUHURA YUNUS

𝗠𝗕𝗢𝗪𝗘 𝗔𝗦𝗜𝗧𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗔𝗔𝗡𝗗𝗔𝗠𝗔𝗡𝗢 𝗬𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗗𝗘𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗥𝗘𝗛𝗘 𝟮𝟯.

JINSI YA KUMSAHAU EX WAKO ALIEKUACHA;

USHAURI WA BURE KWA KILA MFANYAKAZI

TAKUKURU YAPONGEZWA KUWA BEGA KWA BEGA NA MBIO ZA SEPESHA ZINAZOPINGA RUSHWA YA NGONO