Kwenye "SPORTS BACK " leo tupo na DJIGUI DIARA. Mchezaji wa Young Africa ya 🇹🇿. Jina kamili anaitwa DJIGUI OMARY CAMARY DIARRA, Mzaliwa wa Bamako kutoka kabila la Bambala. Alizaliwa February 27 mwaka 1995. Djigui ni mchezaji ambaye hakuenda mbalii sanaa kimasomo kutokana na sababu mbalimbali zizotokea kipindii hicho. DJIGUI alikuwa ni mtu aliyependa sanaa mziki kwa maan kuwa kucheza dance uko mtaani kwako, baba ake Mzee Omary Diarra hakupendeza na kitendo cha DJIGUI kujihusisha na dance hali hiyo ilimpelekea baba ake kumpeleka kwenye academy ya timu ambayo mzee Omary alikuwa anaishabikia sanaa " STADE DE MALLIEN" ambapo DJIGUI alifanya majaribio na kufuzu ndipo akaanza kujifunza mpira chini ya academy ya STADE. 2007 Akiwa na umri wa miaka 12 na hapo alikuwa akicheza nafasi ya kiungo. Mnamo mwaka 2011 rasmi DJIGUI alipandishwa kutoka timu ya vijana ya STADE mpkaa senior timu ya STADE akiwa kama kiungo mshambuliaji akiwa na miaka 16 akafanikiwa kucheza vizu...
- Get link
- X
- Other Apps