- Get link
- X
- Other Apps
Posts
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI
DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI
Mwanaume nisikilize! Umasikini unauma zaidi ukiwa mwanaume. Familia inakutazama tofauti sana hata kama haikuambii ila we fahamu tu kuwa kuna vile wanawaza na kukutazama. Ukiwa huna pesa kuna namna fulani watu wanakunyima heshima au wanakukadiria heshima. Ukiwa huna pesa hakuna anayejali unachosema haijalishi unasema point au jambo la maana kiasi gani. Na ukiendelea kutoa msisitizo ili point yako isikilizwe utaambiwa unapiga kelele au unaleta vurugu kwenye kikao. Tunaishi katika Dunia ambayo haina huruma kwa mwanaume asiye na pesa. Dunia ni sehemu katili kwa mwanaume masikini si Kanisani si hospitalini kama huna pesa wewe si lolote si chochote hata aina ya maombi utakayopewa na heshima utakayopewa ni tofauti sana. Hata Kanisani wewe hata uwe na wanawake 6 na vimada 6 lakini una hela heshima yako italindwa, lakini kama huna pesa utatengwa. Hata Kanisa haliwapi kipaumbele wala heshima watu wasio na pesa. Mwanaume amka kila siku ufanye kazi kwa bidii na kwa akili na maarifa — du...
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMAAA...
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMAAA...
DC NYAKIA MGENI RASMI UFUNGUZI WA UPIMAJI AFYA POLISI RUKWA Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Mhe. Nyakia Ally Chilukile, amekuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa huduma ya upimaji wa afya kwa magonjwa yasiyoambukizwa, zoezi lililoandaliwa na Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Afya cha Polisi nchini. Uzinduzi huo kwa mkoa wa Rukwa umefanyika Julai 5, 2025, katika viwanja vya Polisi Wilaya ya Sumbawanga, ukiambatana na mazoezi ya mbio za pole pole (jogging) yaliyoshirikisha vyombo vya ulinzi na usalama, vilabu vya michezo na wananchi wa kada mbalimbali. Katika hafla hiyo, Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe. Ummy Nderiananga, alihudhuria na kusisitiza umuhimu wa utunzaji wa afya kwa maendeleo ya taifa, akieleza kuwa afya bora ni msingi wa taifa imara. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, SACP Shadrack Masija, naye alitumia fursa hiyo kuhimiza mazoezi ya mwili kama njia ya kuimarisha afya, kuongeza tija kiuchumi na kuboresha mahusiano ya kifamilia. Huduma hiyo ya upi...
MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.
GROUP A Gp Pts # Team 0 0 1🇵🇹 FC Porto 0 0 2 🇧🇷Palmeiras 0 0 3 🇪🇬Al Ahly 0 0 4 🇺🇲Inter Miami GROUP B Gp Pts # Team 0 0 1 🇫🇷PSG 0 0 2 🇪🇸Atl. Madrid 0 0 3 🇧🇷Botafogo RJ 0 0 4 🇺🇲Seattle Sounders GROUP C Gp Pts # Team 0 0 1 🇩🇪Bayern Munich 0 0 2 🇦🇷Boca Juniors 0 0 3 🇵🇹Benfica 0 0 4 🇳🇿Auckland City GROUP D Gp Pts # Team 0 0 1 🏴...
MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!
Kuna hali inazidi kushika kasi miongoni mwa wanaume wa kizazi hiki. Unakuta kijana anaonekana yupo sawa, ana tabasamu, ana marafiki, ana gari au hata ndoa lakini ndani yake kuna kilio kisichosikika, kuna mzigo Mkubwa usiobebeka, kuna uchovu wa kuishi maisha yasiyo yake. Mwanaume wa sasa amekuwa kama mchezaji wa maigizo. Anaigiza mafanikio, anaigiza furaha, anaigiza mapenzi yote ili aonekane yupo juu, awe na heshima mbele ya marafiki, aonekane “mwanaume wa maana” mbele ya jamii. Lakini ni wangapi wameangamia kwa sababu hiyo? Mashinikizo ya watu yamemweka mwanaume kwenye kona mbaya sana. Mwanaume anahisi hawezi kulalamika, hawezi kuomba msaada, hawezi kuanguka. Akilia anaitwa muoga. Akishindwa anaitwa dhaifu. Matokeo yake, anapigana na maisha peke yake mpaka anapotea kimya kimya. Depresheni inamla ndani kwa ndani, na hakuna anayejua. Leo hii kijana anaoa si kwa sababu ya upendo, bali kutimiza matarajio ya watu,jamii,washikaji,na marafiki. Anatafuta mwanamke “...
DIARRA KIPA BORA TANZANIA
📊 MOUSSA CAMARA - 🇬🇳 ⛔️ Matches - 28 ⏱ Time - 2520 Mins 🧤 Cleansheets - 19 _________________ 📊 DJIGUI DIARRA - 🇲🇱 ⛔️ Matches - 23 ⏱ Time - 2070 Mins 🧤 Cleansheets - 17 _________________ . . 📶 NAMNA YA KUPATA KIPA BORA. Idadi ya ‘cleansheets’ gawanya kwa idadi ya michezo yake aliyocheza ‘appearances’ kisha zidisha kwa asilimia mia moja, kupata asilimia (%) 📊 MOUSSA CAMARA - 🇬🇳 (19/28) x 100% (0.67857143) x 100% 67.857 = 68% _________________ 📊 DJIGUI DIARRA - 🇲🇱 (17/23) x 100% (0.73913043) x100% 73.9130435 = 74% ________________ . ⚠️NB: DJIGUI DIARRA (🇲🇱) KIPA BORA WA MSIMU - ✅ Follow Benedict Gaspa
HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA
1. Tafuta mwanamke ambaye hata ukimtumia 5k atakwambia asante na sio kukusonya. 2. Tafuta mwanamke ambaye anajua kuna kupata na kukosa katika maisha. 3. Tafuta mwanamke ambaye anaweza kupunguza matumizi yake yasio ya lazima, ili aweze kuishi ndani ya kipato chako. 4. Tafuta mwanamke ambaye anaelewa kuwa sio yeye pekee anayehitaji usaidizi wako, wapo wazazi wako na ndugu wengine pia. 5. Tafuta mwanamke ambaye hawapi nafasi wanaume wengine. 6. Tafuta mwanamke ambaye ndugu zako watakuwa huru kuja kwako. 7. Tafuta mwanamke hakukatii tamaa hata unapopitia magumu. 8. Tafuta mwanamke ambaye anakutia moyo kila mara. 9. Tafuta mwanamke ambaye anatamani wewe ndio uwe baba wa watoto wake. 10. Tafuta mwanamke ambaye anaamini katika akili yako na maono yako. 11. Tafuta mwanamke ambaye anakupa amani katika maisha yako. 12. Tafuta mwanamke ambaye wewe ndio utakuwa kipaombele katika kila kitu. 13. Tafuta mwanamke ambaye atakufichia madhaifu yako. 14. Tafuta mwanamke ambaye atatangaza mazuri yako kwa r...
CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI
Mwanaume Unatakiwa umzidi mpenzi/mwenza wako kwenye vitu vitatu 1. Umri 2. Maarifa /akili / Elimu au uelewa wa mambo 3. Pesa/ kipato/utafutaji Na mwanamke anatakiwa umzidi mumeo kwenye vitu vitano 1. Uvumilivu 2. Usafi 3. Upendo 4. Mipango 5. Sala/maombi /Imani Na mnatakiwa muwe sawa kwenye vitu viwili 1. Uvumilivu 2. Heshima & Kusameheana. 3. Akili na busara Credit to the Rightful Owner