Posts

KONGOLE VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KUDHIBITI TISHIO LA MAANDAMANO HARAMU DESEMBA 9.

SINA budi kuvipongeza vyombo vya Ulinzi na Usalama kwa kazi kubwa yenye uweledi kwa kudhibiti kwa kiwango cha Juu hali ya usalama wa Nchi Desemba 9, 2025 na kuendelea. ‎ ‎Siku hiyo kulikuwa na tishio la uwepo wa maandamano haramu yaliyotangazwa na vibaraka wa mabeberu wasioitakia mema Nchi yetu nzuri Tanzania inayowindwa kila kukicha na mabeberu hao kwa lengo la kupora rasilimali lukuki tulizojaaliwa na Mwenyezi Mungu yakiwemo madini ya thamani kubwa. ‎ ‎Mashujaa hao waliofanya kazi hiyo kwa ushirikiano  mkubwa ni; Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ),  Jeshi la Polisi, Usalama wa Taifa, bila kuwasahau wananchi waliotii sheria kwa kukataa kabisa kushiriki maandamano hayo haramu. ‎ ‎Pia pongezi za pekee ziliendee Jeshi la Polisi kupitia Msemaji Mkuu wake, David Misime,kwa kitendo cha kutoa mara kwa mara taarifa kwa Wananchi kuhusu hali ya usalama wa Nchi ilivyokuwa inaendelea, hivyo kuwaondolea hofu wananchi. ‎ ‎Walienda mbali zaidi kwa kuwaeleza wananchi kuhusu picha za mjonge...

MBUNGE JENISTA MHAGAMA AFARIKI DUNIA

UONGOZI NI SAYANSI YA MABADILIKO YA DUNIA

KWANINI VURUGU ZA #D9 ZILIGONGA MWAMBA NA ZA SIKU YA CHRISTMAS HAZITAFANIKIWA!?

TANZANIA ARMY THE MOST DANGEROUS ARMY IN AFRICA 🇹🇿🇹🇿🌍

WAZIRI CHONGOLO ATAKA MIRADI YA KILIMO IMKOMBOE MKULIMA

"WHO ARE YOU" ONYO LILILOZAA MATUNDA KIUCHUMI

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATANO DESEMBA 10, 2025

WANAOENDELEA KUHAMASISHANA KUFANYA MAANDAMANO TUTWADHIBITI - JESHI LA POLISI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA