Posts

"WHO ARE YOU" ONYO LILILOZAA MATUNDA KIUCHUMI

Kwanza Inatupasa Kufahamu zama zimebadilika mikakati ya Kuwakataa Wanyonyaji Inaendelea Afrika nzima kwasasa Tahadhari ni kubwa sana kwa Nchi za Magharibi Husasa Nchi kama ya Umoja wa majimbo (Marekani) Marekani hupendelea kufanya kazi na mataifa Imara yani 👉stable nations Fahamu kua Sera ya nje ya Marekani inatoa kipaumbele kwa👇 👉Utulivu wa kisiasa 👉Utabiri wa sera Yani policy predictability 👉Mazingira rafiki kwa uwekezaji 👉Utawala wa sheria na uhuru wa kiuchumi Kama Mnavyo Fahamu Tanzania imekuwa Muhimili wa utulivu katika Ukanda wa Afrika Mashariki kwa miongo Na Miongo. Hili linaiweka Tanzania kwenye kundi la nchi ambazo Marekani na nchi za Magharibi hutaka kulinda mahusiano nao kuliko kuyavuruga. Inatakiwa Tufahamu Kwa nini Marekani haiwezi kuruhusu uhusiano na Tanzania kuharibika, Tanzania ina umuhimu wa kimkakati yani strategic importance kwa sababu👇 👉Ni kitovu cha kijiografia Afrika Mashariki. 👉Ina rasilimali muhimu kama gesi, madini. muhimu kwa teknolojia, nishati. 👉N...

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATANO DESEMBA 10, 2025

WANAOENDELEA KUHAMASISHANA KUFANYA MAANDAMANO TUTWADHIBITI - JESHI LA POLISI

LEO RUKSA KUENDELEA NA KAZI

MIAKA 64 YA UHURU: TBN YASEMA AMANI KWANZA, UJENZI WA TAIFA DAIMA

HADI MUDA HUU NCHI NI SHWARI- JESHI LA POLISI

CCM YATOA ONYO KWA WANAOTUMIA JINA LA KATIBU MKUU DKT. MIGIRO KUTAPELI

TANZANIA AND U.S. MOVE TO FINALISE MAJOR INVESTMENT AGREEMENTS

TANZANIA NA MAREKANI ZASONGA MBELE KUKAMILISHA MAKUBALIANO MAKUBWA YA UWEKEZAJI

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU ASKARI WALIOVAA KININJA KUKAMATA WATU

KENYA: KIBARAKA WA MABEBERU ANAYETUMIKA KUHUJUMU UCHUMI WA TANZANIA KUPITIA KIVULI CHA DEMOKRASIA.

𝗖𝗖𝗠 𝗛𝗔𝗜𝗧𝗔𝗦𝗜𝗧𝗔 𝗞𝗨𝗪𝗔𝗖𝗛𝗨𝗞𝗨𝗟𝗜𝗔 𝗛𝗔𝗧𝗨𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨𝗠𝗜𝗦𝗛𝗜 𝗪𝗔 𝗨𝗠𝗠𝗔 𝗪𝗔𝗕𝗔𝗕𝗔𝗜𝗦𝗛𝗔𝗝𝗜 - 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗘𝗭𝗜 𝗞𝗘𝗡𝗔𝗡𝗜

NAFASI ZA KUFUZU ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...