Posts

OFISI ZA ARDHI ZAPATIWA VIFAA VYA TEHAMA 1,429 KUBORESHA UTENDAJI

* Mhe. Dkt Akwilapo asisitiza matumizi ya TEHAMA Na Munir Shemweta, WANMM Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, amekabidhi jumla ya vifaa vya TEHAMA 1,429 vyenye thamani ya Shilingi Bilioni 5.2 kwa ajili ya Ofisi za Ardhi katika halmashauri 184 nchini, pamoja na ofisi za Makamishna wa Ardhi Wasaidizi wa Mikoa. Makabidhiano hayo yamefanyika tarehe 23 Januari, 2026, jijini Dodoma, wakati wa kikao kazi kati ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na watumishi wa sekta ya ardhi pamoja na wale wa taasisi zilizo chini ya Wizara. Vifaa vilivyokabidhiwa ni juhudi ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuhakikisha huduma katika sekta ya ardhi zinaimarishwa na kuboreshwa kwa ofisi za ardhi kupatiwa vifaa ili kurahisisha utendaji kazi wao katika kuwahudumia wananchi. Vifaa vya TEHAMA vilivyokabidhiwa ni Kompyuta za kawaida 424, Kompyuta zenye uwezo mkubwa kwa ajili ya kazi za ard...

NMB YAWEKA HISTORIA KWA KUWA BENKI YA KWANZA TANZANIA KUZINDUA NMB TAP WEARABLES

MFALME WA MOROCCO AKUBALI YAISHE

RATIBA YA KANDANDA YA DUNIANI LEO

FILAMU YA ROYAL TOUR YAZAA , RAIS SAMIA ATUZWA JEEP WRANGLER

KENANI APOKELEWA KWA KISHINDO IKUNGI MASHARIKI

TUNAHITAJI WANAUME WENYE USHAWISHI KAMA PUTIN--TRUMP

HATUNA HOFU KUCHEZA NA AL AHLY- KOCHA WA YANGA

WAZIRI MKUU AAMURU KAZI ZOTE ZA SERIKALI ZIFANYIKE DODOMA

RAIS SAMIA KUADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA KWA KUPANDA MITI KIZIMKAZI

TANZANIA NA MAREKANI WAZIDI KUIMARISHA UHUSIANO

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾