Posts

JKCI, SAUDIA ARABIA WAOKOA MAISHA YA WATOTO 22

  Wataalamu wa upasuaji wa moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao wa Kituo cha King Salman Humanitarian Aid and Relief cha nchini Saudi Arabia wakifanya upasuaji wa kuziba tundu la moyo wa mtoto wakati wa kambi maalumu ya matatibabu inayoendelea JKCI. Watoto 22 wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo wamefanyiwa upasuaji katika kambi hiyo.   Na Mwandishi Maalumu - Dar es Salaam. 11/09/2025 Wataalamu wa upasuaji wa moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao wa Kituo cha King Salman Humanitarian Aid and Relief cha nchini Saudi Arabia wamefanya upasuaji wa moyo kwa watoto 22. Upasuaji huo umefanyika katika kambi maalumu ya matibabu ya moyo kwa watoto inayofanyika katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ambapo watoto 40 wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa moyo. Akizungumzia jana kuhusu kambi hiyo Mkurugenzi wa Upasuaji wa Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya alise...

DKT. MIGIRO AFUNGUA MAFUNZO YA UONGOZI NA UTAWALA BORA

PROF. MUHONGO ATETA JAMBO NA AFISA MTENDAJI MKUU WA BRELA NYAISA

PROF.MAHALU AAGA DUNIA

DKT AKWILAPO AKABIDHI VIFAA TIBA KUIMARISHA HUDUMA ZA AFYA MASASI

OKASH AANZISHA MFUMO WA KUSIKILIZA KERO KIDIGITALI

FATMA REMBO, KUNAMBI WAWAPA TAABASAMU WENYE UHITAJI IRINGA

e-GA YATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE UHITAJI

DKT. MAJULE AWATAKIA HERI SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI

HONGERA WANAWAKE WOTE – SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 🌍

TUZO YA HESHIMA KUTOKA KWA WANAWAKE WA UBUNGO

WMA WATOA ELIMU YA VIPIMO MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.