Posts

SERIKALI KUENDELEA KUWAINUA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO NCHINI.

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema Serikali itaendelea kuwaunga mkono wafanyabiashara ndogondogo nchini wakiwemo wasusi, waendesha bodaboda, mama lishe na baba lishe kwa kuwawezesha kupata mikopo yenye masharti nafuu inayotolewa katika halmashauri mbalimbali. Mahundi ameyasema hayo alipohudhuria tamasha la “Urembo na Ibada” lililoandaliwa na mjasiriamali na mmiliki wa saluni, Maria Wilson maarufu kama Chido Point, jijini Dar es Salaam na kukutanisha zaidi ya wanawake 300 Aprili 03, 2026. Amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara ndogondogo ili wajikwamue kiuchumi. “Niwasihi mfike kwenye halmashauri zenu kufuata utaratibu wa mikopo hiyo na kuchangamkia fursa zilizopo. Aidha, nikiwa Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Mbeya, nitaendelea kushirikiana na Chido Point katika kuandaa na kuratibu tamasha hili, linalotarajiwa kufanyika mwezi J...

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

TANROADS YATOA TAHADHARI MATAPELI WANAOJIFANYA WATUMISHI

MATUKIO YA ENG. MTASINGWA BUNGENI DODOMA

PROF. KABUDI AZIBA PENGO LA HAYATI LUKUVI

CCM PWANI YAMPA KONGOLE RAIS SAMIA KWA KUTENGA FEDHA NYINGI UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO

MAMBO YA BUNGENI DODOMA

BODI MICHEZO YA KUBAHATISHA YAIDHAMINI HCO KUPANDA MITI 1000 DODOMA

MAMBO YA BUNGENI DODOMA LEO

MATUKIO YA WABUNGE BUNGENI DODOMA LEO

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

KIJANA WA KINYAKYUSA WA ENZI HIZO, NUSURA AMCHAPE WAZIRI MUONGO BUNGENI

WANAJESHI WAGOMA KWENDA IRAN KUPIGA