Kwanza Inatupasa Kufahamu zama zimebadilika mikakati ya Kuwakataa Wanyonyaji Inaendelea Afrika nzima kwasasa Tahadhari ni kubwa sana kwa Nchi za Magharibi Husasa Nchi kama ya Umoja wa majimbo (Marekani) Marekani hupendelea kufanya kazi na mataifa Imara yani 👉stable nations Fahamu kua Sera ya nje ya Marekani inatoa kipaumbele kwa👇 👉Utulivu wa kisiasa 👉Utabiri wa sera Yani policy predictability 👉Mazingira rafiki kwa uwekezaji 👉Utawala wa sheria na uhuru wa kiuchumi Kama Mnavyo Fahamu Tanzania imekuwa Muhimili wa utulivu katika Ukanda wa Afrika Mashariki kwa miongo Na Miongo. Hili linaiweka Tanzania kwenye kundi la nchi ambazo Marekani na nchi za Magharibi hutaka kulinda mahusiano nao kuliko kuyavuruga. Inatakiwa Tufahamu Kwa nini Marekani haiwezi kuruhusu uhusiano na Tanzania kuharibika, Tanzania ina umuhimu wa kimkakati yani strategic importance kwa sababu👇 👉Ni kitovu cha kijiografia Afrika Mashariki. 👉Ina rasilimali muhimu kama gesi, madini. muhimu kwa teknolojia, nishati. 👉N...
- Get link
- X
- Other Apps