Posts

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU ASKARI WALIOVAA KININJA KUKAMATA WATU

Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, kuhakikisha ukamataji wa Watu unafuata taratibu za kisheria na amepiga marufuku Polisi kuwakamata Watu kibabe wakiwa wamevaa kininja, wakiwa bila sare na silaha kubwa. Akiongea Jijini Dar es salaam leo December 08,2025. ““Nimemuelekeza IGP kwamba katika kipindi hiki kwakweli nisingependa ukamataji wa tofauti, ukamataji ninaoupenda Mimi ni ule wa kwa mujibu wa sheria, Askari amevaa sare anakwenda kuripoti kwamba Jeshi la Polisi kuna Mtu tunamuhitaji, tunataka kwenda kumuhoji tunataka kumchukua, basi anagongewa yule Mtu anachukuliwa tena mchana, kwasababu yule Mtu yupo, anajulikana kazin kwake ana anafanyia shughuli zake wapi, yanini uende ukamkamate nyumbani kwake, Watu wamevaa ninja, hawana sare, masilaha makubwa makubwa, tumekubaliana huu ukamataji hapana”  “Tunataka ukamataji ambao Wananchi wetu wameuzoea wenye staha, hatutaki Mtu akikamatwa hata Watoto wake wapate hof...

KENYA: KIBARAKA WA MABEBERU ANAYETUMIKA KUHUJUMU UCHUMI WA TANZANIA KUPITIA KIVULI CHA DEMOKRASIA.

𝗖𝗖𝗠 𝗛𝗔𝗜𝗧𝗔𝗦𝗜𝗧𝗔 𝗞𝗨𝗪𝗔𝗖𝗛𝗨𝗞𝗨𝗟𝗜𝗔 𝗛𝗔𝗧𝗨𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨𝗠𝗜𝗦𝗛𝗜 𝗪𝗔 𝗨𝗠𝗠𝗔 𝗪𝗔𝗕𝗔𝗕𝗔𝗜𝗦𝗛𝗔𝗝𝗜 - 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗘𝗭𝗜 𝗞𝗘𝗡𝗔𝗡𝗜

NAFASI ZA KUFUZU ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA

TANZANIA YAJIBU MATAMKO YA TAASISI, MATAIFA YA NJE

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

TAIFA NI LETU TUHAKIKISHE TUNALIJENGA, VIJANA TUSIDANGANYIKE - MBUNGE MATIKO

MARUFUKU KUANDAMANA DISEMBA 09- JESHI LA POLISI

DKT. MAJULE ALONGA MAKUBWA KUHUSU HOTUBA NZURI YA RAIS SAMIA

CCM MKOA WA PWANI WAMPA KONGOLE RAIS DKT.SAMIA KWA HOTUBA YENYE DIRA NA MATUMAINI KWA TAIFA

AINA YA WANAWAKE AMBAO UNAPASWA KUWAEPUKA HARAKA:

Mayele

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA