Posts

𝗖𝗖𝗠 𝗛𝗔𝗜𝗧𝗔𝗦𝗜𝗧𝗔 𝗞𝗨𝗪𝗔𝗖𝗛𝗨𝗞𝗨𝗟𝗜𝗔 𝗛𝗔𝗧𝗨𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨𝗠𝗜𝗦𝗛𝗜 𝗪𝗔 𝗨𝗠𝗠𝗔 𝗪𝗔𝗕𝗔𝗕𝗔𝗜𝗦𝗛𝗔𝗝𝗜 - 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗘𝗭𝗜 𝗞𝗘𝗡𝗔𝗡𝗜

𝘼𝙨𝙚𝙢𝙖 𝘾𝘾𝙈 𝙞𝙣𝙖 𝙬𝙖𝙟𝙞𝙗𝙪 𝙬𝙖 𝙠𝙪𝙛𝙪𝙖𝙩𝙞𝙡𝙞𝙖 𝙪𝙩𝙚𝙠𝙚𝙡𝙚𝙯𝙖𝙟𝙞 𝙬𝙖 𝙞𝙡𝙖𝙣𝙞 𝙮𝙖𝙠𝙚 𝙠𝙬𝙖𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙨𝙚𝙧𝙞𝙠𝙖𝙡𝙞 𝙞𝙣𝙖𝙩𝙤𝙠𝙖𝙣𝙖 𝙣𝙖 𝙘𝙝𝙖𝙢𝙖 𝙝𝙞𝙘𝙝𝙤. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. 𝗞𝗲𝗻𝗮𝗻𝗶 𝗞𝗶𝗵𝗼𝗻𝗴𝗼𝘀𝗶 amewataka watumishi wa umma kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi kwa kutanguliza utu na muda. Akizungumza na viongozi mbalimbali wa chama na jumuiya wa mkoa wa Dar es salaam, Mwenezi Kenani amesema kuwa wapo baadhi ya watumishi wa umma ambao wamekuwa wakilalamika kuwa kwanini viongozi wa chama wamekuwa wakifuatilia utekelezaji wa miradi mbalimbali ambapo ameeleza kuwa kitendo hicho ni kudhiirisha kuwa watumishi hao hawapo tayari kutekeleza majukumu yao kwa ukamilifu na kusema kufanya hivyo ni kuikosea heshima serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayotokana na CCM na kuongozwa na Mwenyekiti na Rais Mhe. Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻. Mwenezi Kenani a...

NAFASI ZA KUFUZU ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA

TANZANIA YAJIBU MATAMKO YA TAASISI, MATAIFA YA NJE

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

TAIFA NI LETU TUHAKIKISHE TUNALIJENGA, VIJANA TUSIDANGANYIKE - MBUNGE MATIKO

MARUFUKU KUANDAMANA DISEMBA 09- JESHI LA POLISI

DKT. MAJULE ALONGA MAKUBWA KUHUSU HOTUBA NZURI YA RAIS SAMIA

CCM MKOA WA PWANI WAMPA KONGOLE RAIS DKT.SAMIA KWA HOTUBA YENYE DIRA NA MATUMAINI KWA TAIFA

AINA YA WANAWAKE AMBAO UNAPASWA KUWAEPUKA HARAKA:

Mayele

DKT. MIGIRO AFUNGUA JUKWAA LA WANAWAKE 2025

KAULI NZITO ZA NIFFER BAADA YA KUACHIWA HURU

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...