Posts

CRDB BANK MKOANI MOROGORO YAFUTURISHA

  Mwandishi wetu, Morogoro MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, amewataka Watanzania kuendelea kudumisha amani, umoja na mshikamano katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani na hata baada ya kumalizika kwa mwezi huo. RC Malima ametoa wito huo wakati akizungumza kwenye futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa ajili ya wateja wake pamoja na wadau mbalimbali wa benki hiyo mkoani Morogoro. Amesema kipindi cha Ramadhani ni muda muhimu kwa waumini wa Kiislamu kujitathmini, kufanya ibada na kuimarisha mahusiano mema, huku akisisitiza kuwa maombi yana mchango mkubwa katika kulinda amani na maendeleo ya taifa. “Niwaombe Watanzania wote kutumia kipindi hiki cha Ramadhani kumuomba Mwenyezi Mungu alinde amani ya nchi yetu na atupe moyo wa upendo na mshikamano ili tuendelee kujenga taifa lenye maendeleo,” alisema Malima. Aidha, alimshukuru Benki ya CRDB kwa kuandaa futari hiyo ambayo imewaleta pamoja viongozi, wateja na wadau mbalimbali katika kuimarisha mahusiano na...

VIONGOZI WA TACAS WAKUTANA NA SPIKA, MWENYEKITI WA KAMATI BUNGENI

MBUNGE DKT. MECKTRIDIS ATOA FEDHA KUWEKA MFUMO WA MAJI KITUO CHA AFYA ITETE ‎

WATANZANIA SABA WAWASILI NCHINI KUTOKEA IRAN

KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA JENGO LA GHOROFA 10 CBE

CCM YAFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA UMOJA WA MATAIFA MAKAO MAKUU YA DODOMA

KUNA NDOTO NYINGI ZA WANAWAKE TANZANIA, NA SASA NMB JASIRI IMEZINDULIWA RASMI KUZIFUNGUA

DKT. MAFUMIKO AELEZA TARATIBU ZA KUPIMA VINASABA (DNA)

TPDC YAWATOA HOFU WATANZANIA KUHUSU BEI YA MAFUTA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Wasifu wa Kizza Besigye

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.

MATUKIO RAIS, AMIRI JESHI MKUU DKT. SAMIA AKIZINDUA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA (MMUT)