Posts

BASI LA MSUMBIJI LAKAMATWA NA MZIGO WA DAWA HARAMU ZA KULEVYA

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya DCEA imekamata gari lenye muonekano wa basi, huku kwa ndani likiwa limegawanywa mara mbili upande mmoja ukiwa ni basi la abiria na nusu iliyobaki likiwa ni lori la mizigo. Basi hilo aina ya Scania la Kampuni ya King Masai Tours, lenye namba za usajili wa nchi ya Msumbiji namba AAM 297 CA na hufanya safari zake kati ya Nampula Msumbiji na Tanzania, limekamatwa likiwa na kilogramu 20.03 zikiwa zimefichwa ndani ya balo la mitumba. Kamishna Jenerali wa DCEA, ARETAS LYIMO amesema kufuatia operesheni hiyo wamewakamata watuhumiwa Amasha Iddi Mrisho (40), mkazi wa Buza, Dar es Salaam na Seleman Juma Ally (32), raia wa Msumbiji. Huko Sinza C mtaa wa Bustani nyumba namba 16, Mamlaka hiyo pia imemkamata raia wa Kenya Jefferson Kilonzo Mwende (35), akiwa na gramu 131.88 za Heroin, akitumia biashara ya kuuza chai kuficha biashara ya dawa za kulevya anayoifanya. Katika operesheni zilizofanyika mwishoni mwa Desemba 2025, Mamlaka ya Kudhibiti na Kup...

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO IJUMAA JANUARI 9, 2026

MECHI YA MOROCCO VS TANZANIA NDIYO ILIONGOZA KUWA NA MASHARIKI WENGI AFCON 2025

RAIS SAMIA AWAPA UWAZIRI KAMILI MAKONDA, KATAMBI

MAMBO YA KUMFANYIA MUMEO KILA SIKU

DKT. MIGIRO AUNGURUMA DAR...ATOA MAELEKEZO UTOAJI MAELEKEZO

MAREKANI YAITEKA MELI YA MAFUTA YA URUSI IKITOKEA VENEZUERA

JAB KUFANYA UKAGUZI MAALUMU KWENYE VYOMBO VYA HABARI KUBAINI WAANDISHI WASIO NA ITHIBATI

UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA KWA UPANDE WA TANZANIA WAFIKIA ASILIMIA 79

HISTORIA YA NELSON MANDELA (1918–2013)

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

Wasifu wa Kizza Besigye