Posts

e-GA YATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE UHITAJI

  Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, inayoadhimishwa kila mwaka Machi 8, wanawake wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) wametoa msaada wa mifuko 50 ya saruji, matofali 1,000 pamoja na mahitaji mbalimbali ya watoto katika Kituo cha kulea watoto yatima na waliofanyiwa ukatili cha Shalom kilichopo Kidenge B, Kata ya Msangani, Halmashauri ya Mji wa Kibaha, mkoani Pwani Machi 6, 2026.   Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo, Meneja wa Udhibiti na Viwango wa Mamlaka hiyo Bi. Sultana Seiff, alisema kuwa wanawake wa e-GA wameamua kusherehekea siku hiyo kwa kuwafikia watoto wanaohitaji msaada katika jamii na kukichagua kituo hicho ikiwa kama sehemu ya kurudisha kwa jamii. Meneja huyo alisema kuwa baada ya kuwasiliana na kituo hicho na kupata changamoto mbalimbali zinazohitaji kutatuliwa katika kituo hicho ikiwemo ujenzi wa uzio ili kuhakikisha Watoto hao wanakua salama waliamua kuchangia vifaa vya ujenzi pamoja na mahitaji mengine muhimu kwa Watoto...

DKT. MAJULE AWATAKIA HERI SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI

HONGERA WANAWAKE WOTE – SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 🌍

TUZO YA HESHIMA KUTOKA KWA WANAWAKE WA UBUNGO

WMA WATOA ELIMU YA VIPIMO MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

UJUMBE MWANANA WA RAIS SAMIA KATIKA KUADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO

ISRAEL YAAPA KUMSHAMBULIA KILA ATAKAYETEULIWA KUMRITHI AYATOLLAH KHAMENEI

WATU 28 WAFARIKI KWA MAFURIKO KENYA

PATA TIBA LISHE BORA YA ASILI KUTOKA CHINA

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI MACHI 8, 2026

MWANYIKA AWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MJI WA NJOMBE

RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA EAC ARUSHA

VYAKULA MAARUFU ZAIDI WAKATI WA DAKU NA KUFUNGA AFRIKA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.