Posts

HISTORIA YA NELSON MANDELA (1918–2013)

  “ Uhuru hauji kwa chuki, huja kwa msamaha na ujasiri.” Kuzaliwa na Asili ya Maisha (1918) Nelson Rolihlahla Mandela alizaliwa tarehe 18 Julai 1918, katika kijiji kidogo cha Mvezo, mkoa wa Transkei, Afrika Kusini. Jina Rolihlahla kwa lugha ya Kixhosa maana yake ni: “Mvuta matatizo” au “Mchokozi wa mfumo” Jina Nelson alipewa shuleni na mwalimu Mwingereza (desturi ya kikoloni). Mandela alizaliwa katika familia ya kifalme ya kabila la Thembu. Baba yake alikuwa kiongozi wa kijiji, lakini alipokufa Mandela akiwa na miaka 9, maisha yakabadilika kabisa. Malezi na Elimu – Mwanzo wa Ufahamu Baada ya kifo cha baba yake, Mandela alichukuliwa kulelewa na Chief Jongintaba Dalindyebo, regent wa Thembu. Hapa ndipo: Alipata elimu bora Alifundishwa uongozi, nidhamu na heshima Alianza kuona tofauti kati ya wazungu na weusi Alihudhuria: University of Fort Hare – chuo pekee cha Waafrika wakati huo Lakini alifukuzwa kwa sababu ya: Kupinga sera za kibaguzi Kushiriki maandamano ya wanafunzi Hapo ndi...

CHINA YAIAMURU MAREKANI KUMUACHIA MARA MOJA RAIS MADURO

RAIA WANAWEZA KUISHI NCHI ISIYO NA HAKI ILA HAWEZI KUISHI ISIYO NA AMABI

ZIJUE TIBA LUKUKI ZA MKAA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

MADAKTARI WALIPAMBANA KWA NGUVU ZOTE KUMNUSURU JENISTA MHAGAMA IKASHINDAKANA- MCHENGERWA