Posts

COCO BEACH HAIUZWI- DKT. MCHEMBA

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa ufafanuzi rasmi kuhusu hatma ya eneo la Coco Beach, akisisitiza kuwa halitauzwa kwa mwekezaji yeyote bali maboresho yatafanyika kwa manufaa ya wananchi waliopo katika eneo hilo. Amesema hayo leo, Machi 29, 2026, alipotembelea eneo la Coco Beach jijini Dar es Salaam, ambapo alizungumza na wajasiriamali wadogo wanaofanya shughuli zao katika eneo hilo na kusikiliza kero zao mbalimbali. “Coco Beach haiuzwi. La kwanza niwaondolee hofu—hapauzwi, wala hakuna mwekezaji mwingine zaidi yenu nyinyi wenyewe. Hakuna atakayekuja kutoa maelekezo zaidi ya yale yaliyotolewa na Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hapa hapauzwi,” amesisitiza. Aidha, Dkt. Mwigulu amesema Serikali itaendelea kutekeleza maelekezo ya Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa lengo la kuhakikisha Watanzania wananufaika na maboresho yanayofanyika katika eneo hilo. “Sisi wasaidizi wa Mheshimiwa Rais tutaendelea kuhakikisha Watanzania wanapata lile tabasamu la Mama ambalo ame...

WAZIRI MKUU: COCO BEACH HAIUZWI, NI YA WANANCHI*

MWENYEKITI WA UWT TAIFA AMESAINI KITABU CHA WAOMBOLEZAJI MKOANI IRINGA

RAIS SAMIA AKUTANA NA BALOZI WA ITALIA NCHINI

DKT. KIKWETE AKUTANA NA RAIS MUTHARIKA

MAFUTA YALIYOPO YANATOSHA KWA MIEZI MIWILI HADI MITATU

SEKTA BINAFSI NDIYO INJINI KUU YA UKUAJI WA UCHUMI- RAIS MWINYI

RAIS SAMIA ATOA HESHIMA MWILI WA MAREHEMU LUKUVI DAR

*RAIS SAMIA MSIBANI KWA LUKUVI*

HERSI AZINDUA TAWI LA YANGA CHINA

MWILI WA MAREHEMU LUKUVI WAWASILI DAR

RAIS MWINYI AFUNGUA MPANGO WA PILI WA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI (MKUMBI II)

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

Wasifu wa Kizza Besigye

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

KIJANA WA KINYAKYUSA WA ENZI HIZO, NUSURA AMCHAPE WAZIRI MUONGO BUNGENI