“ Uhuru hauji kwa chuki, huja kwa msamaha na ujasiri.” Kuzaliwa na Asili ya Maisha (1918) Nelson Rolihlahla Mandela alizaliwa tarehe 18 Julai 1918, katika kijiji kidogo cha Mvezo, mkoa wa Transkei, Afrika Kusini. Jina Rolihlahla kwa lugha ya Kixhosa maana yake ni: “Mvuta matatizo” au “Mchokozi wa mfumo” Jina Nelson alipewa shuleni na mwalimu Mwingereza (desturi ya kikoloni). Mandela alizaliwa katika familia ya kifalme ya kabila la Thembu. Baba yake alikuwa kiongozi wa kijiji, lakini alipokufa Mandela akiwa na miaka 9, maisha yakabadilika kabisa. Malezi na Elimu – Mwanzo wa Ufahamu Baada ya kifo cha baba yake, Mandela alichukuliwa kulelewa na Chief Jongintaba Dalindyebo, regent wa Thembu. Hapa ndipo: Alipata elimu bora Alifundishwa uongozi, nidhamu na heshima Alianza kuona tofauti kati ya wazungu na weusi Alihudhuria: University of Fort Hare – chuo pekee cha Waafrika wakati huo Lakini alifukuzwa kwa sababu ya: Kupinga sera za kibaguzi Kushiriki maandamano ya wanafunzi Hapo ndi...
- Get link
- X
- Other Apps