" Tunakwenda kucheza na mpinzani tofauti na yule tuliokutana nae kwenye mchezo wa kwanza. "Mazingira pia ni magumu kwenye hali ya hewa, lakini tumepata siku 2 za kuzoea kiasi mabadiliko hayo na nina amini kesho tutakuwa kwenye nafasi nzuri kuleta ushindani" "Nina kipindi kifupi ndani ya Yanga lakini nina furaha kubwa na kundi la wachezaji niliowakuta, naamini tunazidi kuwa bora katika kila mchezo, kesho ni kipimo kingine kwenye safari yetu," Kocha mkuu wa Yanga Sc Pedro Goncalves
- Get link
- X
- Other Apps