Posts

CCM MKOA WA PWANI WAMPA KONGOLE RAIS DKT.SAMIA KWA HOTUBA YENYE DIRA NA MATUMAINI KWA TAIFA

Na Mwandishi wetu,Kibaha Katibu wa Siasa ,Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani Dkt. David Mramba amesema ameipongeza kwa dhati hotuba ya Mhe.Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyoitoa tarehe Disemba 2 mwaka huu alipozungumza na wazee wa Jiji la Dar es Salaam na kubainisha kuwa imegusa masuala muhimu yanayohusu Taifa na kutoa dira na matumaini makubwa kwa maslahi ya kuleta maendeleo kwa wananchi wa Tanzania.   Dkt.Mramba amesema hayo leo tarehe 5 Desemba 2025 katika mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika ofisini kwake Makao Makuu ya CCM wa. Pwani. " Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Pwani kinaunga mkono kwa kauli moja kama ifuatavyo;kuimarisha amani ya Muungano, tunaunga mkono msisitizo wa Mhe. Rais juu ya kulinda amani, utulivu na mshikamano wa Taifa letu kwani amani ndiyo msingi wa maendeleo na hotuba yake imeonesha dhamira ya dhati ya kuendeleza maridhiano,umoja na kudumisha muungano wetu. Mramba amesema kuwa katika kuchoch...

AINA YA WANAWAKE AMBAO UNAPASWA KUWAEPUKA HARAKA:

Mayele

DKT. MIGIRO AFUNGUA JUKWAA LA WANAWAKE 2025

KAULI NZITO ZA NIFFER BAADA YA KUACHIWA HURU

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA

INSTAGRAM WAFUNGA RASMI KURASS ZA MANGE KIMAMBI

RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA KIONGOZI WA JUMUIYA YA MADOLA NA BARAZA LA UWEKEZAJI

UKIONA NCHI YA KIZUNGU INAFOKEWA NA NCHI YA AFRIKA USISHANGAE MAMBO YAMEBADILIKA.

KIKOSI CHA AWALI CHA TAIFA STARS KILICHOITWA NA KOCHA MKUU GAMONDI

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

MAMBO WANAYOTUMIA WAHUBIRI WA UONGO KUWATEKA WATU.

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI