Posts

UCHAGUZI 2025: BALOZI NCHIMBI ATOA WITO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema kuwa msingi wa sera za CCM utabakia kuwa ni maendeleo ya watu pamoja na amani na utulivu wa nchi. Balozi Nchimbi aliyasema hayo leo Jumapili, tarehe 6 Aprili 2025, alipokuwa akizungumza na mamia ya wananchi wa mji wa Songea katika maeneo ya Liziboni, Uwanja wa Majimaji na Mshangano, ambapo wananchi walikusanyika kwa hamasa kubwa kumsikiliza licha ya kuwa kwenye ziara nyingine za kikazi. Katika eneo la Liziboni, Balozi Nchimbi alilazimika kusimamisha msafara wake ili kuzungumza na wananchi waliomsimamisha njiani akitokea Nyasa. Alitumia fursa hiyo kuwashukuru wananchi wa Songea kwa mchango wao mkubwa uliomuwezesha kufahamika kitaifa na kimataifa. Katika Uwanja wa Majimaji, alihutubia umati mkubwa wa wananchi waliokuwa wakimsubiri wakati alipofika kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la ghorofa lenye fremu 50 za CCM Mkoa wa Ruvuma. Katika hotuba yake, aliwaomba wananchi wa Songea, mkoa mzima na nchi n...

KWA MTU YEYOTE ATAKAYE ONA RAHA, KUNYANYASA, KUDHULUMU, KUCHONGANISAHA WANANCHI, CCM SIYO MAHALA PAKE - DKT. NCHIMBI

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI APRILI 6, 2025

NI HERI KUONGEZA IDADI YA MAADUI KULIKO MARAFIKI

TANZANIA YATINGA KOMBE LA DUNIA KRIKETI

DKT. NCHIMBI ATINGA MBAMBA BAY

DKT NCHIMBI AHUTUBIA WANANCHI WA MBINGA

NMB YADHAMINI MKUTANO MKUU WA TEF

TUME YA MADINI KUENDELEA KUWASAIDIA WASAMBAZAJI NA WAUZAJI BARUTI

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRILI 5, 2025

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA

MWANAMKE ALIYEVUNJA REKODI KWA KUZAA WATOTO 69

BODI YA LIGI YAKIRI MAKOSA, WAIOMBA YANGA WAYAMALIZE

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO

HUU NDIO UKWELI ULIVYO RAFIKI YANGU

BODI YA LIGI SASA WAOMBA HEKIMA NA BUSARA ITUMIKE DERBY YA YANGA, SIMBA