Posts

LEO RUKSA KUENDELEA NA KAZI

Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene amewashukuru Watanzania kwa kuonesha utulivu na uzalendo katika kuilinda amani ya taifa, hususan katika kipindi hiki ambacho Tanzania inaadhimisha miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika.   Akizungumza Jumanne, Desemba 9, 2025 jijini Dar es Salaam wakati wa ukaguzi wa hali ya ulinzi na usalama kwenye mitaa mbalimbali, Waziri Simbachawene ameelekeza wananchi kuendelea na shughuli zao kama kawaida leo Jumatano, Desemba 10, 2025.   Amesema vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea kuimarisha ulinzi katika maeneo mbalimbali nchini ili kudumisha amani na utulivu, na kusisitiza kuwa serikali inaamini katika mazungumzo, utulivu na kustawisha maendeleo ya nchi.   Wananchi pia wameonesha kuridhika na hatua za ulinzi zinazochukuliwa, wakisisitiza umuhimu wa kudumisha amani kwa faida ya kila Mtanzania.  

MIAKA 64 YA UHURU: TBN YASEMA AMANI KWANZA, UJENZI WA TAIFA DAIMA

HADI MUDA HUU NCHI NI SHWARI- JESHI LA POLISI

CCM YATOA ONYO KWA WANAOTUMIA JINA LA KATIBU MKUU DKT. MIGIRO KUTAPELI

TANZANIA AND U.S. MOVE TO FINALISE MAJOR INVESTMENT AGREEMENTS

TANZANIA NA MAREKANI ZASONGA MBELE KUKAMILISHA MAKUBALIANO MAKUBWA YA UWEKEZAJI

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU ASKARI WALIOVAA KININJA KUKAMATA WATU

KENYA: KIBARAKA WA MABEBERU ANAYETUMIKA KUHUJUMU UCHUMI WA TANZANIA KUPITIA KIVULI CHA DEMOKRASIA.

𝗖𝗖𝗠 𝗛𝗔𝗜𝗧𝗔𝗦𝗜𝗧𝗔 𝗞𝗨𝗪𝗔𝗖𝗛𝗨𝗞𝗨𝗟𝗜𝗔 𝗛𝗔𝗧𝗨𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨𝗠𝗜𝗦𝗛𝗜 𝗪𝗔 𝗨𝗠𝗠𝗔 𝗪𝗔𝗕𝗔𝗕𝗔𝗜𝗦𝗛𝗔𝗝𝗜 - 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗘𝗭𝗜 𝗞𝗘𝗡𝗔𝗡𝗜

NAFASI ZA KUFUZU ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA

TANZANIA YAJIBU MATAMKO YA TAASISI, MATAIFA YA NJE

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

TAIFA NI LETU TUHAKIKISHE TUNALIJENGA, VIJANA TUSIDANGANYIKE - MBUNGE MATIKO

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...