Posts

RAIS SAMIA AWATEUA DKT. MPANGO, MAJALIWA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan amesema ameteua aliyekuwa Makamu wa Rais Dk.Philip Mpango kuwa Mshauri wake katika uchumi na miradi na aliyekuwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuwa mshauri wake katika mambo ya jamii. Hivyo amesema kutokana na kuwa na washauri hao katika ofisi yake ndio maana ameamua kufanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri kwa kumteua aliyekuwa Waziri wa Habari,Utamaduni ,Sanaa na Michezo Profesa Palamagamba Kabudi amemteua kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais -Kazi Maalum  Akizungumza leo Januari 10,2026 Ikulu Dar es Salaam katika hafla ya kuwapongeza wanamichezo mbalimbali wakiwemo timu ya Taifa Stars iliyofanikiwa kuingia 16 Bora katika michuano ya AFCON ,Rais Samia ametumia nafasi hiyo kuelezea sababu ya kumteua Profesa Kabudi kuwa Ikulu. “Pamoja na kwamba leo ni siku ya kuwapongeza wana michezo waliofanya vizuri kama vijana wangu wa Taifa Stars lakini pia shughuli hii imekuwa wakati maalum kumuaga Profesa Kabudi kuto...

FAIDA LUKUKI ZA MAJANI YA VIAZI VITAMU (SWEET POTATO LEAVES)

JINSI MAJASUSI NA MAKOMANDOO WA MAREKANI WALIVYOMTEKA RAIS MADURO

KUTEKWA KWA RAIS MADURO NA MAREKANI, KUTAATHIRI VIPI HATUA ZA CHINA NA URUSI?

CHINA, TANZANIA ZAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIHISTORIA NA KIMKAKATI

RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA CHINA

MCHAKATO WA UJENZI WA UWANJA WA YANGA WAANZA RASMI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

Wasifu wa Kizza Besigye