Posts

MATUKIO YA WABUNGE BUNGENI DODOMA LEO

Wabunge wakifurahia jambo walipokuwa akijadiliana kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma leo Machi 31, 2026. Mkutano wa 3 wa Bunge la 13 maalumu kwa Bajeti Kuu umeanza leo kwa kupigwa wimbo wa Taifa na wa Afrika Mashariki, kuomba dua na kusimama kwa dakika moja kuomboleza msiba wa aliyekuwa Mnadhimu Mkuu wa Serikali bungeni na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Marehemu  William Lukuvi. Kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara ambaye pia ni Mbunge wa Mikumi, Denis Londo, Mbunge wa Lupa, Masache Kasaka na Lutengano Mwalwiba Mbunge wa Busokelo. Mbunge wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo (kulia) akijadiliana jambo na Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola. Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby (katikati) akizungumza jambo na baadhi ya wabunge. Mbunge wa Kakonko. Alan Mvano (kulia) akijadiliana jambo na Mbunge wa Lindi Mjini,Mohamed Utaly.  Wabunge wa Viti Maalumu, Lulu Mwacha (kushoto) na Latifa Khamis Juakali. IMEANDALIWA NA RICHARD ...

TANROADS YATANGAZA MIRADI MIKUBWA YA MAENDELEO, FURSA KWA VIJANA

RAIS SAMIA APOKEA RIPOTI YA CAG, TAKUKURU NA PPRA

KONGOLE NECTA KWA MPANGO KUPANDA MITI 150,000 KUTUNZA MAZINGIRA

COCO BEACH HAIUZWI- DKT. MCHEMBA

WAZIRI MKUU: COCO BEACH HAIUZWI, NI YA WANANCHI*

MWENYEKITI WA UWT TAIFA AMESAINI KITABU CHA WAOMBOLEZAJI MKOANI IRINGA

RAIS SAMIA AKUTANA NA BALOZI WA ITALIA NCHINI

DKT. KIKWETE AKUTANA NA RAIS MUTHARIKA

MAFUTA YALIYOPO YANATOSHA KWA MIEZI MIWILI HADI MITATU

SEKTA BINAFSI NDIYO INJINI KUU YA UKUAJI WA UCHUMI- RAIS MWINYI

RAIS SAMIA ATOA HESHIMA MWILI WA MAREHEMU LUKUVI DAR

*RAIS SAMIA MSIBANI KWA LUKUVI*

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

KIJANA WA KINYAKYUSA WA ENZI HIZO, NUSURA AMCHAPE WAZIRI MUONGO BUNGENI

IRANI ILIJARIBU KUMUUA TRUMP

WANAJESHI WAGOMA KWENDA IRAN KUPIGA