Posts

BODI MICHEZO YA KUBAHATISHA YAIDHAMINI HCO KUPANDA MITI 1000 DODOMA

Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT)  imetoa sh. mil. 10. 4 kwa Taasisi ya Habari Conservation Organization (HCO) za kusadia upandaji miti 1000 katika eneo la Ndejengwa jijini Dodoma Katika tukio hilo lililofanyika sanjari na upandaji wa miti hiyo uliofanywa na Mgeni Rasmi, Naibu Meya wa Jiji la Dodoma, Bakari Fundikira, Mkurugenzi Mkuu wa GBT, James Mbalwe, viongozi mbalimbali pamoja na wananchi jirani na mradi huo.  Naibu Meya, Fundikira ameishukuru GBT kwa udhamini huo na kuipongeza HCO kwa kuendelea na jitihahada za kupanda miti katika eneo hilo na kwamba watashirikiana nao kufanikisha lengo hilo la kuijakinisha Dodoma. Mkurugenzi Mkuu wa GBT, James Mbalwe  akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh. mil. 10.4 kwa uongozi wa HCO. Naibu Meya wa Jiji la Dodoma, Bakari Fundikira (kushoto) akiangalia moja ya mabomba yanayotumika kumwagilia miti. Naibu Meya wa Jiji la Dodoma, Bakari Fundikira akipanda mti. Viongozi wa HCO wakimwagilia maji mti. Kulia ni Mwenyek...

MAMBO YA BUNGENI DODOMA LEO

MATUKIO YA WABUNGE BUNGENI DODOMA LEO

TANROADS YATANGAZA MIRADI MIKUBWA YA MAENDELEO, FURSA KWA VIJANA

RAIS SAMIA APOKEA RIPOTI YA CAG, TAKUKURU NA PPRA

KONGOLE NECTA KWA MPANGO KUPANDA MITI 150,000 KUTUNZA MAZINGIRA

COCO BEACH HAIUZWI- DKT. MCHEMBA

WAZIRI MKUU: COCO BEACH HAIUZWI, NI YA WANANCHI*

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

KIJANA WA KINYAKYUSA WA ENZI HIZO, NUSURA AMCHAPE WAZIRI MUONGO BUNGENI

WANAJESHI WAGOMA KWENDA IRAN KUPIGA

IRANI ILIJARIBU KUMUUA TRUMP