Posts

IJUE HISTORIA FUPI YA KIPA DJIGUI DIARRA

Kwenye "SPORTS BACK " leo tupo na DJIGUI DIARA. Mchezaji wa Young Africa ya 🇹🇿.  Jina kamili anaitwa DJIGUI OMARY CAMARY DIARRA,  Mzaliwa wa Bamako kutoka kabila la Bambala. Alizaliwa February 27 mwaka 1995. Djigui ni mchezaji ambaye hakuenda mbalii sanaa kimasomo kutokana na sababu mbalimbali zizotokea kipindii hicho. DJIGUI alikuwa ni mtu aliyependa sanaa mziki kwa maan kuwa kucheza dance uko mtaani kwako,  baba ake Mzee Omary Diarra hakupendeza na kitendo cha DJIGUI kujihusisha na dance hali hiyo ilimpelekea baba ake kumpeleka kwenye academy ya timu ambayo mzee Omary alikuwa anaishabikia sanaa " STADE DE MALLIEN" ambapo DJIGUI alifanya majaribio na kufuzu ndipo akaanza kujifunza mpira chini ya academy ya STADE. 2007 Akiwa na umri wa miaka 12 na hapo alikuwa akicheza nafasi ya kiungo. Mnamo mwaka 2011 rasmi DJIGUI alipandishwa kutoka timu ya vijana ya STADE  mpkaa senior timu ya STADE akiwa kama kiungo mshambuliaji akiwa na miaka 16  akafanikiwa kucheza vizu...

SMZ YAPONGEZA UDHAMINI MNONO WA NMB NAPINDUZI CUP

JIPE MUDA: KUKUA NI MCHAKATO SI MASHINDANO YA MBIO. FANYA SUBIRA✍️

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

ASKOFU CHANDE AWAKARIBISHA WATANZANIA KATIKA IBADA MAALUMU YA MAOMBI KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2026

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI DESEMBA 28, 2025

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

RATIBA YA FAINALI ZA AFCON LEO

JINSI AKILI YA MWANAUME INAVYOFANYA KAZI

MOROCCO, MALI NGOMA DROO

ASKOFU MALASUSA AKEMEA UZANDIKI NA TABIA YA UCHONGANISHI

NISIKILIZE KIJANA WANGU

REKODI ZA WACHEZAJI WA LIGI KUU TANZANIA BARA BAADA ZA MECHI YA KWANZA ZA AFCON 2025

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

Wasifu wa Kizza Besigye

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA

MADAKTARI WALIPAMBANA KWA NGUVU ZOTE KUMNUSURU JENISTA MHAGAMA IKASHINDAKANA- MCHENGERWA