Posts

JINSI MIRADI YA KIMKAKATI YENYE THAMANI YA SH 4.15 TRILIONI ITAKAVYOMALIZA SHIDA YA MAJI NCHINI

Na Pius Ntiga, Mwaka 2021, Rais Dkt, Samia Suluhu Hassan alipoahidi ‘kumtua mwanamke ndoo ya maji kichwani,’ maneno yake yaliashiria mabadiliko makubwa katika sera ya maji nchini.  Maono hayo sasa yanaanza kutimia, huku serikali ikiwekeza kwa kiasi kikubwa katika upatikanaji wa maji kupitia miradi zaidi ya 100 kote nchini. Kati ya miradi hiyo, hii hapa 25 yenye thamani ya Sh4.15 trilioni ikiwa imebuniwa mahsusi kushughulikia uhaba wa maji kwa kudumu, siyo tu mijini bali hata vijijini, kulingana na takwimu kutoka Wizara ya Maji. Miradi hii inalenga kupunguza mzigo mkubwa ambao wanawake na watoto kwa muda mrefu wameubeba ambapo serikali inalenga kufikia 95% mijini na 85% vijijini ifikapo mwaka 2030. Tukianza na mradi wa Maji Arusha, unaogharimu Sh520 bilioni, unafaidi wakazi 850,000 kwa kuzalisha lita milioni 200 kila siku.  Ukikamilika, upatikanaji wa maji mijini utaongezeka hadi asilimia 91.6, huku vijijini wakifikia asilimia 83. Katika mikoa ya Kilimanjaro na Tanga, Mradi wa ...

TAARIFA KUHUSU MCHANGO WA TANZANIA BLOGGERS NETWORK (TBN) KATIKA ANGA LA KIDI JITALI KIKAO KAZI PSSSSF DESEMBA 18,2025

RAIS SAMIA AWAPONGEZA TBN, JUMIKITA

NMB YAWAPA NEEMA WAKANDARASI WA ZANZIBAR

TUZO YA JAFO YALENGA KUINUA VIWANGO VYA UTENDAJI KWA WENYEVITI WA VIJIJI KISARAWE

NMB YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA VYA SH. MIL. 15 KITUO CHA AFYA MAKOLE DODOMA

GARI LA RAIS WA MAREKANI 'NI HATARI TUPU'

MAKAMU WA RAIS NCHIMBI AONGOZA MAZISHI YA JENISTA MHAGAMA, ATOA WITO WA UONGOZI UNAOWAJALI WANANCHI WA CHINI

TRC KUANZA UJENZI WA RELI YA MZUNGUKO DAR 2026

CHINA NI TAIFA LA WATU IMARA, WENYE HESHIMA

NAPENDA SANA PILAU, MAKANGE NA CHIPSI - AZIZ KI

TANZANIA, MAREKANI KUIMARISHA USHIRIKIANO

VITU 11 AMBAVYO WATU HUCHELEWA KUJIFUNZA KWENYE MAISHA YAO

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA