NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Jumuiya ya umoja wa wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT), Wilaya ya Kibaha mjini katika kukiimarisha chama imeamua kufanya ziara maalumu yenye lengo la kuwashukuru na kuwapongeza wanawake kwa umoja wao na mshikamao waliouonyesha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 na kupelekea chama cha mapinduzi (CCM) kuweza kushinda kwa kishindo katika447 nafasi za Udiwani, Ubunge pamoja na Urais. Akizungumza katika ziara hiyo ambayo imefanyika katika Kata mbili za Visiga pamoja na Misugusugu Mwenyekiti wa (UWT) Wilaya ya Kibaha Elina Mgonja amesema kwamba wameamua kufanya ziara hiyo ambayo itaweza kuwapa fursa ya kukutana na wanawake hao ambao ndio walikuwa mstari wa mbele katika kukipigania chama kiweze kushinda na kupata viongozi wa CCM katika nafasi mbali mbali.' Katika ziara hiyo ambayo imeongozwa na Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Kibaha pamoja na baadhi ya wajumbe wa kamati ya utekelezaji ambap...
- Get link
- X
- Other Apps