Mbunge wa Mbeya Mjini, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya, Patrick Mwalunenge (wa pili kulia) akiwa na baadhi ya wakuu wa mikoa waliohudhuria kikao cha wabunge kujadili makadirio ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu bungeni Dodoma mwanzoni mwa wiki. Kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anamringi Macha na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule. Akioneshwa jambo na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule walipokuwa wakitoa bungeni wakati wa mapumziko. Mwalunenga (wa tano kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wakuu wa mikoa. Mwalunenge akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima. Katikati ni Mbunge wa Morogoro Kusini, Zubery Mfaume. Patrick Mwalunenge akiiomba serikali kuuruhusu mkoa huo kukopa fedha za kujenga Km 100 za Jiji la Mbeya na kwamba uwezo wa kulipa deni hilo wanao. bungeni Dodoma Aprili 14, 2026. Pia Mwalunenge ameiomba serikali kuupatia mkoa huo fedha zitakazosaidia kukara...
- Get link
- X
- Other Apps