Mbunge wa Viti Maalumu, Selina Kingalame ameishauri serikali kuanzisha mfumo wa elimu kwa vitendo (Internship) kwa kada nyingine za elimu kama ilivyo elimu y utabibu. Ametoa ushauri huo katika kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Aprili 14, 2026 na kujibiwa na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia ya Habari, Wanu Hafidh Ameir na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete. IMENDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203
- Get link
- X
- Other Apps