Posts

RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE AWEKA SAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO CHA MAREHEMU KARDINALI PENGO

  RAIS Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, leo ameweka saini katika kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Katoliki la Dar es Salaam, marehemu Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu jijini Dar es Salaam. Baada ya kuweka saini, Dkt Kikwete alimpa mkono wa pole Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Thaddaeus S. Ruwa’ichi, na kueleza kuwa marehemu Kardinali Pengo atakumbukwa daima kwa mchango wake mkubwa kwa Kanisa na Taifa pamoja na moyo wake wa upendo kwa wananchi na kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Alisema Kardinali Pengo alikuwa rafiki wa wengi na kiongozi aliyegusa maisha ya watu wengi kupitia huduma yake ya kiroho na kijamii. Aidha, Dkt Kikwete alitoa pole kwa Askofu Mkuu Ruwa’ichi, viongozi na waumini wa Kanisa Katoliki, akiwataka kuwa na subira katika kipindi hiki cha majonzi huku akiungana nao kumuombea marehemu apumzike kwa amani. Akizung...

PPAA YAZUIA ZABUNI 43 ZA SH.BIL. 586 KWA WAZABUNI WALIOKOSA SIFA

TAHADHARI YATOLEWA; UWEPO WA MAFUA MAKALI YA INFLUENZA, UVIKO 19, HOMA YA DENGUE NA KIPINDUPINDU

MOTSEPE AMEFANYA MABADILIKO MAKUBWA CAF

NMB INAJENGA KIZAZI KIPYA CHA WATALAAMU WA SEKTA YA FEDHA

TUMEANDIKA HISTORIA KUBWA, UZINDUZI WA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA - RAIS SAMIA

MATUKIO RAIS, AMIRI JESHI MKUU DKT. SAMIA AKIZINDUA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA (MMUT)

WAKURUGENZI WALIOONGOZA IDARA YA USALAMA WA TAIFA TANZANIA (TISS)

PUNGUZA STRESS....

MCHUNGAJI MBOMBO CELE ALIKUWA TAPELI, ANAUA WATOTO-JESHI LA POLISI

"HATA MBWA MWENYE MSIMAMO ANAHESHIMIKA”

MTANZANIA GEAY AIBUKA BINGWA DAEGU MARATHON 2026

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATATU 23, 2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

30 TANZANIAN PROJECTS IN THE NEXT 10 YEARS

PUNGUZA STRESS....