- Get link
- X
- Other Apps
Posts
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...
Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda
Image copyright AP Image caption Dkt Besigye amekamatwa akielekea makao makuu ya Tume ya Uchaguzi Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. Watu walioshuhudia wanasema amekamatwa alipokuwa akijaribu kuondoka nyumbani kwake. Amekuwa kwenye kizuizi cha nyumbani tangu Ijumaa wakati polisi walimtuhumu kupanga kujitangazia matokeo. Mtazamo wa Kizza Besigye kuhusu uchaguzi Museveni: Uchaguzi wa Uganda ulikuwa shwari Image caption Besigye alizuiliwa na polisi mara tatu wiki iliyopita Wakili wake amethibitisha habari za kukamatwa kwake. Awali kulikuwa na habari kwamba angefika makao makuu ya Tume ya Uchaguzi kuitisha matokeo rasmi ya kina ya uchaguzi wa urais. Image copyright AFP Image caption Polisi walivamia afisi za chama cha FDC Ijumaa wiki iliyopita Tume ya Uchaguzi ilimtangaza Rais Yoweri Museveni kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Alhamisi wiki iliyopita.
Wasifu wa Kizza Besigye
Image copyright BBC World Service Image caption Besigye anawania urais kwa mara ya nne Kanali (Mstaafu) Dkt Kizza Besigye Kifeefe alizaliwa mwaka 1956 katika wilaya ya Rukungiri, magharibi mwa Uganda. Besigye alifuzu kama daktari baada ya kusomea Chuo Kikuu cha Makerere, mjini Kampala. Alijiunga na chama cha Museveni cha Uganda Patriotic Movement muda mfupi baada ya kuondolewa madarakani kwa Idi Amin 1978. Mwaka 1982, alijiunga na Museveni vitani baada ya kuzuiliwa miezi miwili katika hoteli moja mjini Kampala akituhumiwa kushirikiana na waasi. Baada ya Museveni kuingia uongozini, alimteua Dkt Besigye, wakati huo akiwa na umri wa miaka 29, kuwa waziri wa nchi aliyesimamia masuala ya ndani na masuala ya siasa za taifa. Dkt Besigye alipanda cheo jeshini na kufikia cheo cha kanali. Alistaafu muda mfupi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2001, miezi michache kabla ya kujitokeza na kutangaza kwamba angewania urais. Image copyright AFP Image caption Besigye aliwahi kukimbilia uhami...
🟩🟨⬛MWANANCHI! TUNAJUA UNAJUA ila tunakukumbusha tu vyeo vitano vizito vya Eng. Hersi Said (@caamil_88). Fuatilia kwa umakini tafadhali... 1️⃣Rais wa Klabu Kubwa Afrika Mashariki, Young Africans 2️⃣Mjumbe wa kamati tendaji ya Shirikisho la mpira wa Miguu Afrika - CAF. 3️⃣Mwenyekiti wa Umoja wa Vilabu Afrika - ACA 4️⃣Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Wanaume ya shirikisho la mpira wa miguu Duniani - FIFA 5️⃣Balozi wa Lugha ya Kiswahili duniani. Mwananchi! Vyeo vikubwa vinaendelea kumfuata Rais wetu, Hersi Said. Kuwa mkweli unasubiri kuona cheo gani kikubwa zaidi kwa mwamba? #phupdates #daimambelenyumamwiko
Mwenyekiti wa Bunge ambaye pia ni Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika akiongoza mjadala wa wabunge kuhusu makadirio ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka 2026-2027 unaoendelea bungeni Dodoma Aprili 9, 2026. Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuupatia Mkoa wa Njombe miradi mingi ya maendeleo kikiwemo Chuo Kikuu. Aidha, Mwanyika akichangia hotuba ya Waziri Mkuu bungeni Dodoma Aprili 14, 2026 hajasita kueleza ukweli kwamba bila kukamilika kwa ujenzi wa barabara ya Itoni - Lusitu mradi wa chuma wa Liganga hautakuwa na maana, kwani unategemea sana barabara hiyo.
AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE
Ikiwa wewe ni mwanamume mwenye maono, hatima (destiny), na kusudi, huwezi kuruhusu mwanamke asiye sahihi aharibu maisha yako. Biblia haimung’unyi maneno kuhusu hili; inakupa maonyo ya wazi na makali. Lakini wanaume wengi wanayapuuza na kuishia kufilisika, kuvunjika moyo, na kufungwa. Hizi hapa ni aina 10 za wanawake hatari ambao Maandiko na hekima ya kimungu vinakuamuru ukae nao mbali kabisa: 1️⃣ MWANAMKE MZINZI (Mithali 5:3–5) ☠️ Midomo yake inadondosha asali, maneno yake ni laini, lakini miguu yake inaelekea mauti. Ni hatari. Ataharibu hatima yako kwa tamaa za mwili. 2️⃣ MWANAMKE MGOMVI NA MWENYE KELELE (Mithali 21:9 & 25:24) ⛈️ Ni afadhali kukaa kwenye pembe ya dari au nyikani kuliko kukaa nyumba moja na mwanamke mgomvi. Atanyonya nafsi yako, atamaliza nguvu zako, na kuzika amani yako. 3️⃣ MWANAMKE MSENGENYAJI (1 Timotheo 5:13) 👅 Watu wasio na kazi, wanaozurura nyumba kwa nyumba, wakiongea mambo yasiyofaa na kupanda mbegu za fitina. Kinywa chake ni silaha ya maangamizi. Kaa nay...
MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA
Majani ya mpera yana faida nyingi za kiafya, lakini watu wengi hawajui thamani yake kubwa ya kitabibu. Yana vitamini A, B, na C, potasiamu, nyuzinyuzi (fiber), lycopene, quercetin, catechin na virutubisho vingine muhimu. Hapa chini ni baadhi ya faida zake: ▪️Afya ya Ubongo Vitamini B6 na B3 husaidia kuboresha mzunguko wa damu kwenda kwenye ubongo, kuongeza uwezo wa kufikiri, na kutuliza mishipa ya fahamu. ▪️Huongeza Kinga ya Mwili Chai ya majani ya mpera huimarisha kinga na kusaidia kupunguza hatari ya magonjwa mbalimbali. ▪️Kupunguza Maumivu Quercetin husaidia kupunguza maumivu na kupambana na maambukizi. ▪️Msaada wa Hedhi Inaweza kusaidia kupunguza maumivu ya hedhi, kurekebisha mzunguko, na kupunguza usumbufu. ▪️Ngozi Kubaki Kijana Ina antioxidants zinazopambana na free radicals (husababisha kuzeeka). Majani yaliyosagwa yanaweza kutumika kama scrub ya asili. ▪️Kuboresha Macho Vitamini A husaidia kulinda uwezo wa kuona. ▪️Kuboresha Usingizi Hutuliza akili na kusaidia kupata usingizi k...
RAIS ALİYEISHI KAMA MUNGU WAKATI WATU WAKE WAKIFA NJAA
Yeye hakutawala nchi tu aligeuka kuwa hiyo nchi. Jina lake alikuwa Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga — jina alilojipa mwenyewe likimaanisha: "Shujaa mwenye nguvu zote ambaye, kwa sababu ya uvumilivu wake na utashi usioyumba wa kushinda, huenda kutoka ushindi mmoja hadi mwingine, akiacha moto nyuma yake." Hata jina lake tu lilikuwa kama ikulu. Wakati viongozi wengi wa Afrika miaka ya 1970 walikuwa wakikopa pesa kutoka IMF ili tu kuweka serikali zao hai... Mobutu alikuwa akiagiza Concorde — ndege ya abiria ya gharama kubwa zaidi kuwahi kutengenezwa duniani — ili imletee mikate ya Croissants freshi kutoka Paris hadi kwenye ikulu yake iliyopo katikati ya msitu. Si mkate wa kawaida. Si chakula kwa ajili ya watu wake wanaokufa njaa. Ni Croissants. Kutoka Paris. Kwa kutumia Concorde. Ikulu yake ya Gbadolite — iliyojengwa ndani kabisa ya msitu wa mvua wa Congo — ilikuwa na sakafu za marumaru (marble) zilizoagizwa kutoka Ulaya, barabara ya ndege (runway) ndefu ya kutosha k...
ZIJUE TIBA ZA MMEA WA MSHONA NGUO.
Mmea wa mshona nguo (jina la kisayansi: Bidens pilosa) ni mmea wa kawaida wa porini unaopatikana katika mashamba na bustani nyingi za Kiafrika. Ingawa wakulima wengi huiona kama gugu, dawa za mitishamba za kitamaduni huithamini kama tiba asilia yenye nguvu. Faida za Kiafya na Kimatibabu za Mmea wa mshona nguo 1. Huimarisha Mfumo wa Kinga Mmea wa mshona nguo una vioksidishaji, vitamini, na madini ambayo husaidia mwili kupambana na maambukizi na kuboresha kinga kwa ujumla. 2. Husaidia Kutibu Matatizo ya Tumbo Chai ya Mmea wa mshona nguo hutumika kijadi kupunguza: Vidonda vya tumbo Kuhara Kusaga chakulaKuvimbiwa Inasaidia kutuliza mfumo wa usagaji chakula. 3. Husaidia Kudhibiti Sukari Damu Baadhi ya wataalamu wa mitishamba hutumia Mmea wa mshona nguo kuwasaidia watu wanaougua Kisukari cha Aina ya 2 kwa sababu inaweza kusaidia kudhibiti viwango vya sukari kwenye damu. 4. Athari za Kupunguza Uvimbe Mmea husaidia kupunguza uvimbe mwilini na unaweza kupunguza: Ma...
UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026
Benki ya NMB imetwaa tuzo tatu katika Tuzo za Euromoney Private Banking 2026 jijini London, ikishinda Benki Bora ya Huduma za Wateja Maalum Tanzania, Benki Salama Zaidi ya Huduma za Wateja Maalum na Benki Bora kwa Uendelevu Tanzania. Ushindi huo unazidi kuakisi uimara wa benki ya NMB yenye matawi 241 nchini na zaidi ya mawakala 73,000 pamoja na wateja zaidi ya 9.9 millioni, katika kutoa huduma mahususi kwa wateja, kuimarisha usalama wa fedha na kuongoza katika utekelezaji wa mikakati ya fedha endelevu. Mafanikio haya yanaendelea kuimarisha nafasi ya Benki ya NMB kama kinara wa ubunifu na mshirika wa maendeleo ya uchumi Tanzania.