Posts

MWENGE WA UHURU KITAIFA KUPITIA JUMLA YA MIRADI 68 YENYE THAMANI YA BL.263.1 MKOA WA PWANI

  Na Victor Masangu,Pwani  JUMLA ya miradi 68 yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 263.1 mkoani Pwani inatarajiwa kupitiwa na mbio za  Mwenge wa Uhuru Kitaifa katika wilaya saba zenye halmashauri tisa. Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakar Kunenge, alisema hayo Aprili 18, 2026 wakati akipokea Mwenge wa Uhuru kutoka mkoa wa Dar es Salaam katika Shule ya Msingi Mtambani, Mapinga wilayani Bagamoyo. Alisema kati ya miradi hiyo, miradi 23 itawekewa mawe ya msingi, 17 itazinduliwa na 24 itakaguliwa. Baada ya makabidhiano ya kimkoa, Kunenge alimkabidhi Mwenge huo Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Shaibu Ndemanga, ambaye alisema wilaya hiyo ina halmashauri mbili, Bagamoyo na Chalinze ambapo katika Halmashauri ya Bagamoyo, miradi minane yenye thamani ya sh bilioni 11.4 imepitiwa. Katika miradi hiyo, Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Mwang’onda, ameweka jiwe la msingi katika mradi wa kusogeza huduma ya maji safi wa Kibosha–Mapinga unaosimamiwa na DAWASA, utakaogharimu sh...

DKT. RWEIKIZA APAMBANIA AJIRA ZA VIJANA

NMB YATOA SH. MIL 500 KUSAIDIA HUDUMA ZA UPANDIKISHAJI FIGO NA UBOHO BMH

MNEC-SUKI RABIA HAMIDI,KANSELA WA CPC WAFANYA KIKAO KAZI JIJINI DAR

OFISI YA RAIS MIPANGO NA UWEKEZAJI YAOMBA BAJETI YA SH. BL. 144

NANI ATAVIKWA TAJI LA DHAHABU JUMAPILI HII? 👑

KATIBU MKUU CCM AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA JUMUIYA YA MADOLA

CHATANDA ASHIRIKI KIKAO CHA BODI HOSPITALI YA RUFAA DODOMA

MWALUNENGE ATAKA MBEYA IKOPESHWE FEDHA ZA KUJENGA KM 100 ZA BARABARA ZA JIJI

MWAMENGO AIOMBA SERIKALI KUUPA KIPAUMBELE MRADI WA SONGWE BASIN KUNUSURU MAFURIKO KYELA

BILA KUKAMILIKA UJENZI WA BARABARA YA ITONI-LUSITU, HAKUNA MRADI WA CHUMA WA LIGANGA - MWANYIKA

HAMASA YA UTALII WA NDANI DODOMA HAKUNA KULALA

SWALI YA KINGALAME BUNGENI LAJIBIWA NA MAWAZIRI WAWILI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

ZIJUE TIBA ZA MMEA WA MSHONA NGUO.

RAIS ALİYEISHI KAMA MUNGU WAKATI WATU WAKE WAKIFA NJAA