Posts

MWANAUME UKIWA NA KITAMBI ETHIOPIA NI DILI

Mwanaume mwenye kitambi [Ethiopia] ndio Sukari ya warembo  tena hufanya tamasha la shindano la vitambi linajulikana zaidi kwa Tamasha la Ka'el, sherehe yao ya Mwaka Mpya inayofanyika kila mwaka karibu Juni au Julai.  Jamii hiyo kutoka Ethiopia tumbo kubwa  kwao ndio  uzuri na hadhi kubwa  kwa mwanaume. Kadiri tumbo linavyokuwa kubwa, ndivyo utakavyokuwa na mvuto zaidi lakini maandalizi ya shindano ambapo mnene zaidi huchaguliwa huusisha  unywaji wa damu mbichi ya ng'ombe na maziwa mabichi ya ng'ombe.  Wakati wa sherehe ya Kael, mshindi wa shindano hupimwa na kupokea umaarufu mkubwa wanawake na wasichana huwaletea maziwa kila asubuhi katika harakati zao za kupata utukufu mkubwa.  Zawadi pekee kwa mshindi ni umaarufu na sifa za watu wa kabila lake wanawake huwatunza wanaume wanene huwapa pombe, huondoa jasho, na huwaimbia nyimbo mbali mbali.  #usa #naturephotograhy #astronomy #HK4ever fy reelsfacebook natureinpired viralvideochallenge cheating ...

JK AHUDHURIA MKUTANO WA AFYA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI NA KATI HUKO ESWATINI

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI FEBRUARI 7, 2026

RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI, MABADILIKO

TANZANIA KUWA KITOVU CHA USAFIRISHAJI – WAZIRI MKUU

MZEE PINDA AONGOZA KUPANDA MITI DODOMA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

'MAREKANI IKIJARIBU KUANZISHA VITA NA URUSI ITAANGAMIA'

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA