Posts

KENYA: KIBARAKA WA MABEBERU ANAYETUMIKA KUHUJUMU UCHUMI WA TANZANIA KUPITIA KIVULI CHA DEMOKRASIA.

UCHAGUZI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa tarehe 29 Oktoba 2025 ulikuwa sehemu ya historia ya maendeleo ya demokrasia ya vyama vingi tangu mwaka 1992. Mamilioni ya Watanzania zaidi ya milioni 31.7 walijitokeza kwa amani kutekeleza haki yao ya kikatiba, ingawa baadhi ya maeneo kama Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Mbeya na Songwe yalishuhudia matukio ya uvunjifu wa amani, uporaji, kuchoma moto mali za umma na binafsi kwa kisingizio cha kudai haki. Kuanzia siku ya uchaguzi na siku chache baadae, vurugu zililipuka: vituo vya mafuta vilichomwa moto, magari ya mwendokasi na vituo vyake vikaharibiwa, ofisi za serikali na vituo vya polisi vikaathirika, mali binafsi zikaporwa na kuharibiwa. Jeshi la Polisi na vikosi vya usalama vililazimika kudhibiti hali, maeneo kadhaa yakatiwa ulinzi maalum na mawasiliano ya kidigitali yakadhibitiwa kwa muda mfupi kuzuia taarifa za uchochezi. Uchochezi kutoka mitandao ya kijamii Uchunguzi umebaini kuwa machafuko hayo hayakuwa ya bahati mbaya. Mitanda...

𝗖𝗖𝗠 𝗛𝗔𝗜𝗧𝗔𝗦𝗜𝗧𝗔 𝗞𝗨𝗪𝗔𝗖𝗛𝗨𝗞𝗨𝗟𝗜𝗔 𝗛𝗔𝗧𝗨𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨𝗠𝗜𝗦𝗛𝗜 𝗪𝗔 𝗨𝗠𝗠𝗔 𝗪𝗔𝗕𝗔𝗕𝗔𝗜𝗦𝗛𝗔𝗝𝗜 - 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗘𝗭𝗜 𝗞𝗘𝗡𝗔𝗡𝗜

NAFASI ZA KUFUZU ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA

TANZANIA YAJIBU MATAMKO YA TAASISI, MATAIFA YA NJE

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

TAIFA NI LETU TUHAKIKISHE TUNALIJENGA, VIJANA TUSIDANGANYIKE - MBUNGE MATIKO

MARUFUKU KUANDAMANA DISEMBA 09- JESHI LA POLISI

DKT. MAJULE ALONGA MAKUBWA KUHUSU HOTUBA NZURI YA RAIS SAMIA

CCM MKOA WA PWANI WAMPA KONGOLE RAIS DKT.SAMIA KWA HOTUBA YENYE DIRA NA MATUMAINI KWA TAIFA

AINA YA WANAWAKE AMBAO UNAPASWA KUWAEPUKA HARAKA:

Mayele

DKT. MIGIRO AFUNGUA JUKWAA LA WANAWAKE 2025

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...