Posts

KWA NINI WALOKOLE WENGI WANAISHI MAISHA MAGUMU.

Walokole wengi wanaishi maisha magumu kwa sababu baada ya kuokoka;  1.Walokole wengi baada ya kuokoka wamekosa nafasi ya  kufanyiwa maombi ya deliverance. Walokole wengi sana wapo kwenye vifungo kwenye nafsi zao walivyovipata kabla ya kuokoka kutokana na madhabahu za koo zao, uchawi, uganga ,ushirikina waliofanyiwa huko nyuma.  Vifungo vya kwenye nafasi haviondoka kwa kuokoka pekee, baada ya kuokoka inabidi ufuate mchakato wa ukombozi. Ukombozi maana yake kurejesha vilivyoibiwa, vilivyoharibiwa au vilivyouwawa na adui ( Yohana 10:10) Mtu anapookoka roho yake ndiyo inayookoka, baada ya kuokoka nafsi yake ndiyo inayotakiwa kushughulikiwa kutoka kwenye vifungo vya ukoo, uchawi, uganga, ushirikina n.k. Walokole wengi sana wanaishi maisha ya vifungo wakidhani ni mapito. Kuna tofauti kati ya mapito na vifungo.  Hata kama umeokoka usipotolewa kwenye misingi ya ukoo wenu ambao ulikushikilia hata kabla ya kuokoka kwako utaishi maisha yaleyale wanayoishi ndugu zako ambao hawaj...

HATUTAKI WATUMISHI WA SEKTA YA ARDHI KUWA SEHEMU YA MATATIZO’’-DKT AKWILAPO

WADAIWA KODI YA ARDHI KIKAAONGONI

OSIMHEN HATOMSAHAU BACCA

AFCON 2025: TANZANIA KUISHANGAZA NIGERIA LEO?

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMANNE DESEMBA 23, 2025

MATOKEO YA KANDANDA JANA

TANZANIA KUJENGA KITUO KUNGINE KIKUBWA CHA MIKUTANO CHA KIMATAIFA

DKT. MIGIRO AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA CHINA

MWANAMKE KUWA MZURI SI KIGEZO....

WAUMINI WA KANISA LA KATOLIKI WAMSHITAKI PADRI KITIMA KWA PAPA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

Wasifu wa Kizza Besigye

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA