Posts

SALAMU ZA MWAKA MPYA 2026 KUTOKA KWA MWENYEKITI WA TANZANIA BLOGGERS NETWORK (TBN)

Ndugu Wasomaji na Watumiaji wa Blogu Tanzania. Tunapouaga mwaka 2025, nachukua fursa hii, kwa niaba ya wanachama wote wa Tanzania Bloggers Network (TBN), kuwapongeza Watanzania wenzangu kwa kumaliza mwaka huu "kibabe".  Tumekuwa na mwaka wenye matukio mengi ya kihistoria, na ninyi wasomaji wetu mmekuwa wadau muhimu kwa kufuatilia habari, uchambuzi, na taarifa mbalimbali kupitia majukwaa yetu ya kidijitali. Kuelekea Mwaka 2026: Makubwa Zaidi Yanakuja! Mwaka 2026 unakwenda kuwa mwaka wa mageuzi makubwa kwa TBN. Tunatarajia kuleta maudhui yenye ubunifu wa hali ya juu, habari za kina, na teknolojia ya kisasa zaidi katika kuhabarisha umma. Wanachama wetu wamejipanga kuwa daraja imara zaidi kati ya serikali na wananchi, tukihakikisha kila Mtanzania anapata habari sahihi na kwa wakati. Ombi Langu kwa Watanzania: Tunapoingia 2026, rai yangu ni kuendelea kudumisha amani na utulivu. Tuepuke vurugu na migawanyiko, badala yake tujikite katika umoja wetu kama Taifa. Huu ni wakati wa kuung...

MPIGAPICHA WA KIKE MAARUFU MICHUANO YA AFCON 2025 MOROCCO

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATANO DESEMBA 31, 2025

𝗡𝗨𝗞𝗨𝗨 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗭𝗢𝗜𝗦𝗛𝗜 𝗔𝗟𝗜𝗭𝗢𝗧𝗨𝗔𝗖𝗛𝗜𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔 𝗠𝗭𝗘𝗘 𝗪𝗔 𝗟𝗨𝗣𝗔𝗦𝗢 𝗛𝗔𝗬𝗔𝗧𝗜 𝗕𝗘𝗡𝗝𝗔𝗠𝗜𝗡 𝗠𝗞𝗔𝗣𝗔.

DROO YA HATUA YA 16 BORA

𝗡𝗨𝗞𝗨𝗨 𝗠𝗨𝗛𝗜𝗠𝗨 ZA 𝗛𝗔𝗬𝗔𝗧𝗜 𝗔𝗟𝗜 𝗛𝗔𝗦𝗦𝗔𝗡 𝗠𝗪𝗜𝗡𝗬𝗜

WADAIWA SUGU WA VIWANJA DODOMA KUNYANG'ANYWA

TANZANIA YAFUZU 16 BORA AFCON 2025

KIPINDI CHA MACHOZI KATIKA NDOA

NAULI YA UHALIFU SGR INAUMIZA, INAFURAHISHA

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMANNE DESEMBA 30, 2025

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA