𝐁𝐚𝐫𝐚𝐳𝐚 𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐰𝐚𝐳𝐢𝐫𝐢 𝐥𝐢𝐥𝐢𝐥𝐨𝐭𝐚𝐧𝐠𝐚𝐳𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐌𝐡. 𝐑𝐚𝐢𝐬 𝐒𝐚𝐦𝐢𝐚 𝐒𝐮𝐥𝐮𝐡𝐮 𝐇𝐚𝐬𝐬𝐚𝐧 Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora 👔 Waziri - Mh. Ridhiwani Jakaya Kikwete 👩💼 Naibu - Regina Ndege Kwarai Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji 👔 Waziri - Prof. Kitila Mkumbo 👩💼 Naibu - Pius Steven Chaya Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana 👔 Waziri - Joel Nanauka Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira 👔 Waziri - Mh. Mhandisi Hamadi Masauni 👩💼 Naibu - Dkt. Festo Dugange Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu 👔 Waziri - Mh. William Lukuvu 👩💼 Naibu - Ummy Nderiananga Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano 👔 Waziri - Mh. Deus Sangu 👩💼 Naibu - Mh. Rahma Riadh Kisuo Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa 👔 Waziri - Mh. Prof. Riziki Sailas Shemdoe 👩💼 Naibu - Mh. Reuben Nhamanilo (Elimu) 👩💼 Naibu - Mh. Dr. Jaffar Rajab Seif (Afya) Wizara ya Fedha 👔 Waziri - Mh. Balozi...
- Get link
- X
- Other Apps