Wateule wa Chama Cha UPDP wakitoka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Njedengwa Dodoma, Agosti 10, 2025 baada ya kuchukua fomu za kuomba uteuzi wa kugombea urais na umakamu wa Rais Tanzania. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha United People's Democratic Party (UPDP), Mhe. Twalib Ibrahim Kadege. Kadege aliambatana na Mgombea Mwenza, Mhe. Abdalla Mohamed Khamisi (kushoto) wakati wa kuchukua fomu hizo leo Agosti 10, 2025. Wagombea wengine waliochukua fomu leo ni kutoka vyama vya; MAKINI ambacho wagombea wake ni Coster Jimmy Kibonde. na Mgombea Mwenza, Aziza Haji Suleiman, National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo na Mgombea Mwenza, Chausiku Khatib Mohamed na United Peoples Democratic Party (UPDP), ...
- Get link
- X
- Other Apps