Posts

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) akitoa cheti kwa Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dodoma, Dkt. Neema Majule ikiwa ni miongoni mwa mikoa iliyoshiriki kufanya kampeni na kutafuta kura za kishindo kwa Mgombea wa Nafasi ya Urais kwa Tiketi ya CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Wabunge pamoja na Madiwani katika uchaguzi uliofanyika Oktoba 29, 2025. Aidha, Chatanda alitoa vyeti vya Shukrani pia kwa Viongozi wa UWT kwa kila Mkoa Nchini, pamoja na Maafisa Tehama waliohakikisha kila taarifa za Uchaguzi zinawekwa kwenye mfumo mmoja na kupata takwimu sahihi kwa kile kilichofanyika katika kusaka ushindi wa kishindo kwa CCM. Hayo yamejiri Februari 14, 2026 wakati wa kikao cha Baraza Kuu la UWT kilichoketi katika ukumbi wa NEC jijini Dodoma. Dkt. Majule akipokea cheti hicho kutoa kwa Mwenyekiti wa UWT Taifa, Chatanda. Dkt. Majule akifurahia na viongozi wenzie kupata cheti hicho. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203  

CHATANDA AWEKA WAZI SIRI YA USHINDI MKUBWA WA RAIS SAMIA

WIZARA YA ELIMU NA COSTECH KWA KUSHIRIKIANA NA BENKI YA CRDB WATENGA SHILINGI BILIONI 4.6 KUWAWEZESHA VIJANA WABUNIFU

WANU:SERIKALI KUIBORESHA SHERIA YA ELIMU KUENDANA NA SERA YA 2014 TOLEO LA 2023

BARAZA KUU LA UWT LATOA TUZO KWA KATIBU MKUU WA CCM

UWT YAZINDUA MPANGO MKAKATI WA KUELIMISHA JAMII UMUHIMU WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI FEBRUARI 14, 2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO