Posts
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...
Wasifu wa Kizza Besigye
Image copyright BBC World Service Image caption Besigye anawania urais kwa mara ya nne Kanali (Mstaafu) Dkt Kizza Besigye Kifeefe alizaliwa mwaka 1956 katika wilaya ya Rukungiri, magharibi mwa Uganda. Besigye alifuzu kama daktari baada ya kusomea Chuo Kikuu cha Makerere, mjini Kampala. Alijiunga na chama cha Museveni cha Uganda Patriotic Movement muda mfupi baada ya kuondolewa madarakani kwa Idi Amin 1978. Mwaka 1982, alijiunga na Museveni vitani baada ya kuzuiliwa miezi miwili katika hoteli moja mjini Kampala akituhumiwa kushirikiana na waasi. Baada ya Museveni kuingia uongozini, alimteua Dkt Besigye, wakati huo akiwa na umri wa miaka 29, kuwa waziri wa nchi aliyesimamia masuala ya ndani na masuala ya siasa za taifa. Dkt Besigye alipanda cheo jeshini na kufikia cheo cha kanali. Alistaafu muda mfupi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2001, miezi michache kabla ya kujitokeza na kutangaza kwamba angewania urais. Image copyright AFP Image caption Besigye aliwahi kukimbilia uhami...
KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...
1). Usipayuke sauti juu kwa mumeo kwa sababu yoyote . kupayuka maneno Ni ishara ya kukosa heshima. 2). Usiongee udhaifu wa mumeo kwa familia au marafiki zako. Utarudi kwako. Wewe ni mlinzi wa kila mmoja Kwa mumeo.. 3). Kamwe usitumie mitazamo na hisia kuwasiliana na mumeo, hujui jinsi mumeo atakavyoutafsiri. Wanawake wanaojitetea hawana nyumba yenye furaha. 4). Kamwe usimlinganishe mumeo na wanaume wengine, hujui maisha yao yanahusu nini. Ukimshambulia familia yake, Upendo wake kwako utapungua. 5). Usiwatendee vibaya marafiki wa mumeo kwa sababu humpendi, mtu anayepaswa kuwaondoa ni mumeo. 6). Usisahau kamwe kwamba mumeo alikuoa, si mjakazi wako au mtu mwingine yeyote. Timiza majukumu yako. 7). Kamwe usimpe mtu yeyote jukumu la kumjali mumeo, watu wanaweza kufanya kila kitu kingine lakini mumeo ni jukumu lako mwenyewe. 8. Kamwe usimlaumu mumeo akirudi nyumbani mikono mitupu. Badala yake umtie moyo. 9). Kamwe usiwe mke mharibifu, jasho la mumeo ni la t...
Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda
Image copyright AP Image caption Dkt Besigye amekamatwa akielekea makao makuu ya Tume ya Uchaguzi Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. Watu walioshuhudia wanasema amekamatwa alipokuwa akijaribu kuondoka nyumbani kwake. Amekuwa kwenye kizuizi cha nyumbani tangu Ijumaa wakati polisi walimtuhumu kupanga kujitangazia matokeo. Mtazamo wa Kizza Besigye kuhusu uchaguzi Museveni: Uchaguzi wa Uganda ulikuwa shwari Image caption Besigye alizuiliwa na polisi mara tatu wiki iliyopita Wakili wake amethibitisha habari za kukamatwa kwake. Awali kulikuwa na habari kwamba angefika makao makuu ya Tume ya Uchaguzi kuitisha matokeo rasmi ya kina ya uchaguzi wa urais. Image copyright AFP Image caption Polisi walivamia afisi za chama cha FDC Ijumaa wiki iliyopita Tume ya Uchaguzi ilimtangaza Rais Yoweri Museveni kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Alhamisi wiki iliyopita.
MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA
Mbunge wa Viti Maalumu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Dodoma, Dkt. Neema Majule (katikati) ametoa msaada wa vyakula, vinywaji, vifaa vya usafi na vyandarua 100 kwa Shule ya Viziwi Dodoma, katika tukio lililofanyika Februari 21, 2026 katika shule hiyo iliyopo Kisasa jijini Dodoma. Katika tukio hilo, Dkt. Majule ambaye yupo mstari wa mbele kujitotea kwa hali na mali katika masuala ya kijamii na hasa kwa watu wenye uhitaji maalumu, alitoa mchele, unga, mafuta, sukari, vinywaji, sabuni, fagio, kalamu, madaftari na pedi kwa ajili ya mabinti. Kabla ya makabidhiano ya msaada huo, Dkt. Majule alipata wasaa wa kutembelea na kujionea jinsi wanafunzi wanavyopata mafunzo kwa njia ya vitendo ikiwemo ushonaji, kompyuta, ufundi umeme na uselemala lakini pia mchezo wa pooltable. Mkuu wa shule hiyo, Awadhi Mbogo alitoa shukrani kwa kitendo cha mbunge huyo kuamua kutoa msaada huo mkubwa kwa shule hiyo na kwa aendelee na moy...
IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA
Mapambano yanaendelea Huyu pichani ni Ayatollah Mpya wa wa muda wa Iran 👉Iran imepata Ayatollah mpya wa Muda Ayatollah Alireza Arafi, ambaye alikuwa kiongozi wa zamani wa shule za kidini/seminari za Iran na mkuu wa Qom Friday, ameteuliwa na Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu takriban 88 kuiongoza Iran Kwa sasa Ayatollah Alireza Arafi ndio Kiongozi Mkuu wa kiroho na Serikali wa Muda mpaka Atakapo Thibitishwa au kuchaguliwa mwingine na baraza la wanazuoni wa Kiislamu wapatao 88. Fahamu kua Ayatollah ni mfumo sio mtu. Ayatollah Alireza Arafi ni mwanazuoni wa Kiislamu wa na kiongozi wa kidini na kisiasa kutoka Iran ambaye amekuwa mmoja wa makasisi wenye ushawishi mkubwa ndani ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu. Alizaliwa mwaka👉1959, Meybod, Iran Hizi ni Nafasi muhimu alizowahi kushika 👉Mwanachama wa Baraza la Walinzi 👉Mwanachama wa Baraza la Wataalam 👉Mkuu wa seminari za kidini Iran 👉Imam wa sala ya Ijumaa mjini Qom 👉Mkuu wa Chuo cha kimataifa cha ...
MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO
1. Kuzungumza na mpenzi wako kwa heshima 2. Kuhifadhi baadhi ya sehemu za mwili wako kwa ajili ya Mpenzi wako ili aone tu, usitoe Penzi kwa Kila aneomba 3. Mmbusu mpenzi wako bila sehemu yoyote 4. Kumshikilia mpenzi wako mahali anapopenda kushikwa - kiuno, mikono, mgongo, vidole nk 5. Jibu Message za mpenzi wako. Kamwe usimfanye mpenzi wako ahisi kukataliwa Kwa kutojali msg zake 6. Mpe mpenzi wako amani. Amani ni jambo muhimu Katika mahusiano 7. Kuwasiliana vizuri. Kuwa Rafiki wa kuwasiliana. Endelea kuwasiliana asubuhi, mchana na Usiku .Usiwe mgeni kihisia kwa mwenzi unayetarajia kukupa mwili wake 8. Kuvaa vizuri kwa ajili ya Mpenzi wako, kunukia vizuri, kudumisha usafi mzuri wa Mwili. 9. kuwa mtukutu, mchafu na mchafu faraghani na mpenzi wako. Inafanya urafiki uhisi kama siri kati yenu wawili 10. Kujiamini. Inamvutia mpenzi wako na kumfanya asikuache tena
DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) akitoa cheti kwa Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dodoma, Dkt. Neema Majule ikiwa ni miongoni mwa mikoa iliyoshiriki kufanya kampeni na kutafuta kura za kishindo kwa Mgombea wa Nafasi ya Urais kwa Tiketi ya CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Wabunge pamoja na Madiwani katika uchaguzi uliofanyika Oktoba 29, 2025. Aidha, Chatanda alitoa vyeti vya Shukrani pia kwa Viongozi wa UWT kwa kila Mkoa Nchini, pamoja na Maafisa Tehama waliohakikisha kila taarifa za Uchaguzi zinawekwa kwenye mfumo mmoja na kupata takwimu sahihi kwa kile kilichofanyika katika kusaka ushindi wa kishindo kwa CCM. Hayo yamejiri Februari 14, 2026 wakati wa kikao cha Baraza Kuu la UWT kilichoketi katika ukumbi wa NEC jijini Dodoma. Dkt. Majule akipokea cheti hicho kutoa kwa Mwenyekiti wa UWT Taifa, Chatanda. Dkt. Majule akifurahia na viongozi wenzie kupata cheti hicho. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203