Posts
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...
USAFIRI WA SGR DAR-DODOMA WASITISHWA
AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.
1 : Wanawake Wazuri Zaidi 📌Inahitaji roho takatifu tu kumfanya mwanamke mrembo awe ndani ya ndoa.Unaitaji Roho ya Samason katika eneo hili,Maana Mwanamke akiwa mzuri sana akili zake zinahamia kwenye uzuri wake,Anaamini atakuwa mzuri milele,Anaamini ya kwamba Yeye ni dhahabu nyinyi wengine viroboti,Huye acheki na wowote maana utaumiza wake moyo /Wanatafuta mwana mwenye pesa ili waendelee kuhudumia mwili wao,Mwanamke mzuri hawezi kuwa na mapenzi ya kweli labda kidogo sana kama amelelewa na kufunzwa vyema lakini Anaamini ya kwamba anapendwa na kila mtu na Wanawake Wazuri ukimkuta ana akili za kujitegemea basi unabahati Sana,Wanawake Wazuri huwa hawanaga akili timamu na ndiyo wanaongoza kwa kutumika sana,Wanachoka mapema maana wameugeuza mwili wao kuwa shamba La Marehemu,Kwa nje kapendeza lakini ndani ametumika balaa tupu wanapambana kutafuta mwanaume mwenye na ndivyo wanavyotumika maana Wanaume pia hawaoagi Wanawake Wazuri Ila Wanaume wanawapenda Wanawake Wazuri kwa matumizi tu lakini si...
MA- MC, DJ WATAKIWA KUJISAJILI HARAKA BASATA, KULIPA 50,000
MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA
MKIFANIKIWA KUIPATIA NCHI KATIBA NZURI, MAJINA YENU YATAANDIKWA KWA WINO WA DHAHABI- DKT. KIKWETE
BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR
Kijana dereva wa bodaboda anayefahamika kwa jina la Brown Anthony ameibua gumzo kubwa miongoni mwa wananchi baada ya kufanikiwa kusafiri kutoka jijini Mbeya hadi Dar es Salaam kwa kutumia pikipiki aina ya Boxer 150 HD yenye namba ya usajili MC 473 FKT, ndani ya saa 10, safari iliyoanzia kwenye ubishani wa kawaida na kuhitimishwa kwa ushindi wa kihistoria. Ubishani huo ulianza tarehe 14 Januari 2026 kati ya Brown Anthony na bodaboda mwenzake Alex Ndile, ambapo walitofautiana kuhusu uwezekano wa kufika Dar es Salaam kwa pikipiki ndani ya muda wa masaa 13. Baada ya majadiliano makali, walikubaliana kuyaweka madai yao katika makubaliano rasmi ya kisheria. Makubaliano hayo yaliwekwa mbele ya mwanasheria Ambakisye Kibona, ambapo kila mmoja alikuwa na pikipiki yake binafsi, na pande zote zilikubaliana kuwa atakayeshindwa atalazimika kumpa mshindi pikipiki yake kama dau la makubaliano hayo. Baada ya makubaliano kukamilika, Brown Anthony alianza safari yake rasmi tarehe 15 Januari saa 11:00 asu...
KIPA WA TAIFA STARS MASALANGA AMEPEWA ZAWADI NA WAMOROCCO.
ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO
Asante gwiji Yaya Touré, aliyekuwa mchezaji wa kimataifa wa Ivory Coast! Ninaamini katika fair play, lakini sitakubali kamwe kudhulumiwa hadharani mbele ya dunia nzima. Nilivutiwa sana na mwitikio na uimara wa kisaikolojia wa Wasenegal jana: kuanzia benchi la ufundi, wachezaji hadi mashabiki—kila kitu kilikuwa sahihi kwa wakati muafaka. Hayo ndiyo maoni yangu. Sijali kabisa kinachoitwa fair play pale udhalimu unapojaribu kushinda na kuchafua urithi wangu. Sitakubali hilo, kamwe. Kama Senegal isingechukua hatua na kujibu kama walivyofanya jana, ingekuwa mwisho wao katika Kombe hili la Mataifa ya Afrika (AFCON). CAF na FIFA waadhibu waamuzi wote na hata soka ya Senegal maishani kote kama wanataka: nyota yao ya pili tayari iko mfukoni, na wameistahili kikamilifu. Hata jana, katikati ya mechi, wavulana wa kuokota mipira wa Morocco, pamoja na baadhi ya wachezaji wa Morocco waliokuwa benchi, walikuwa wakijaribu kumvuruga golikipa wa Senegal kwa kuchukua taulo yake, aliyohitaji kujifuta uso—h...
CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾
🟡🟢 1️⃣Djigui Diarra 🇲🇱 2️⃣Frank Assinki🇬🇠3️⃣Yao Attohoula🇮🇪 4️⃣Chadrack Boka🇨🇩 5️⃣Moussa Conte🇬🇳 6️⃣Duke Abuya🇰🇪 7️⃣Maxi Nzengeli 🇨🇩 8️⃣Lassine Kouma🇹🇩 9️⃣Allan Okello🇺🇬 🔟Pacome Zouzoua 🇮🇪 1️⃣1️⃣Prince Dube🇿🇼 1️⃣2️⃣Laurindo Depu🇦🇴 🔰...Mwananchi hapo VIPI?