Posts

WANAWAKE WA UWT KIBAHA MJI KUNOGILE WAANZA ZIARA KWA KISHINDO NA KUMPONGEZA RAIS SAMIA KWA USHINDI

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Jumuiya ya umoja wa wanawake  wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT),  Wilaya  ya  Kibaha mjini katika kukiimarisha chama imeamua kufanya ziara maalumu yenye lengo la kuwashukuru  na kuwapongeza  wanawake kwa umoja wao na mshikamao waliouonyesha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 na kupelekea chama cha mapinduzi (CCM)  kuweza  kushinda kwa kishindo katika447 nafasi za Udiwani, Ubunge pamoja na Urais. Akizungumza katika ziara hiyo  ambayo imefanyika katika Kata mbili za Visiga pamoja na Misugusugu Mwenyekiti wa (UWT) Wilaya ya Kibaha Elina Mgonja amesema kwamba  wameamua kufanya ziara hiyo ambayo itaweza kuwapa fursa ya  kukutana na wanawake hao ambao ndio walikuwa mstari wa mbele katika kukipigania chama kiweze kushinda na kupata viongozi wa CCM katika nafasi mbali mbali.' Katika ziara hiyo ambayo imeongozwa na Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Kibaha pamoja na  baadhi ya wajumbe wa kamati ya utekelezaji ambap...

DKT. MIGIRO AFUNGUA MAFUNZO YA UONGOZI NA UTAWALA BORA

PROF. MUHONGO ATETA JAMBO NA AFISA MTENDAJI MKUU WA BRELA NYAISA

PROF.MAHALU AAGA DUNIA

DKT AKWILAPO AKABIDHI VIFAA TIBA KUIMARISHA HUDUMA ZA AFYA MASASI

OKASH AANZISHA MFUMO WA KUSIKILIZA KERO KIDIGITALI

FATMA REMBO, KUNAMBI WAWAPA TAABASAMU WENYE UHITAJI IRINGA

e-GA YATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE UHITAJI

DKT. MAJULE AWATAKIA HERI SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI

HONGERA WANAWAKE WOTE – SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 🌍

TUZO YA HESHIMA KUTOKA KWA WANAWAKE WA UBUNGO

WMA WATOA ELIMU YA VIPIMO MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?