Posts

TAIFA LIMEPATA PENGO KUONDOKEWA NA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO,RUVUMA -DKT.NCHIMBI

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Taifa limepata pengo kuondokewa na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma, marehemu Jenista Mhagama ambaye alikuwa kiongozi aliyeheshimika na  kutumikia nchi katika majukumu mbalimbali ya kitaifa. Makamu wa Rais amesema hayo wakati akitoa salamu za rambirambi alipowasili kuhani msiba nyumbani kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, marehemu Jenista Mhagama eneo la Itega Jijini Dodoma.  Amesema marehemu Mhagama licha ya kuwa ni alikuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, lakini pia alitoa mchango wake katika Chama Cha Mapinduzi na kusimamia maendeleo ya Mkoa wa Ruvuma kwa ujumla. Makamu wa Rais ametoa pole kwa familia na waombolezaji na kuwaombea watoto wa marehemu na ndugu wa karibu, Mungu awape ujasiri wa kukubali jambo hilo na kutambua ni njia ya watu wote.

KONGOLE VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KUDHIBITI TISHIO LA MAANDAMANO HARAMU DESEMBA 9

MBUNGE JENISTA MHAGAMA AFARIKI DUNIA

UONGOZI NI SAYANSI YA MABADILIKO YA DUNIA

KWANINI VURUGU ZA #D9 ZILIGONGA MWAMBA NA ZA SIKU YA CHRISTMAS HAZITAFANIKIWA!?

TANZANIA ARMY THE MOST DANGEROUS ARMY IN AFRICA 🇹🇿🇹🇿🌍

WAZIRI CHONGOLO ATAKA MIRADI YA KILIMO IMKOMBOE MKULIMA

"WHO ARE YOU" ONYO LILILOZAA MATUNDA KIUCHUMI

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATANO DESEMBA 10, 2025

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA