Posts

DKT. SAMIA AAHIDI KULIPA FIDIA KWA WALIOPISHA UJENZI WA BARABARA YA SITALIKE - KIBAONI

  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM, DKT. Samia Suluhu Hassan ameahidi kuwalipa fidia wananchi waliopisha ujenzi wa barabara ya Sitalike- Kibaoni mkoani Katavi. Amesema kuwa endapo wananchi watampa ridhaa ya kuongoza tena nchi kwa kumpigia kura katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29 mwaka huu, ataiagiza Wizara ya ujenzi kufanya upembuzi wa majina ya wanaostahili ili walipwe stahiki zao. Ametoa ahadi hiyo le Oktoba 18, 2025 alipokuwa akijinadi katika mkutano mkubwa wa Kampeni kwenye viwanja vya Azimio Mjini Mpanda mkoani Katavi ikiwa ni siku ya 52 tangubaanze Kampeni Agosti 28, 2025.

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

SERIKALI YAPANDISHA KIMA CHA CHINI CHA MSHAHARA SEKTA BINAFSI

KANUNI MPYA LIGI KUU: TIMU ITAKAYOSHINDWA KUFIKA UWANJANI FAINI MIL.50, RAIS KUFUNGIWA MIAKA 5

BODA BODA TUKO PAMOJA NA DKT. SAMIA NA OKTOBA 29, TUNATIKI KURA YA NDIYO

HAKUNA WA KUBISHANA NA KAMPENI ZA DKT. SAMIA BUKOBA

KAGERA IMEITIKA KAMPENI ZA DKT SAMIA

KAMPENI ZA DKT SAMIA KURINDIMA BUKOBA MJINI LEO

DKT. SAMIA AWAKABIDHI ILANI WAGOMBEA UBUNGE BASHUNGWA, BAHEMU, NSEKELA

NMB YAWANOA WANANCHI, VIKUNDI VYA KIJAMII KIMANZICHANA

NMB YAFADHILI WAFANYABIASHARA 28 KWENDA CHINA

WENJE ASHANGAA TAKWIMU ZA MIRADI YA MAENDELEO ZINAZOSHUSHWA KATIKA KAMPENI ZA DKT. SAMIA

ODINGA AAGA DUNIA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

DKT.NCHIMBI ATUA RASMI SONGEA KUSAKA KURA ZA CCM

DKT. SAMIA AAHIDI KUJENGA CHUO CHA UHASIBU SONGEA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA