Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini nchini, Eng. Hamisi Kamando akizungumza katika mkutano na vyombo vya habari kuhusu mafanikio ya Maendeleo ya Miradi ya Tume hiyo pamoja na jinsi ya kuwawezesha vijana na wachimbaji wadogo katika sekta ya madini.
Pamoja na mambo mengine ENG. Kamando ameyasema hayo katika mkutano huo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO, Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo katika Mji wa Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma Machi 17, 2026

Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini nchini, Eng. Hamisi Kamando 
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203





Comments