Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji wa Baraza Kuu la

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM),

Ridhiwani Kikwete (kushoto), akimkabidhi Mwenyekiti

wa zamani wa Umoja huo, ambaye ni Mgombea ubunge wa

Jimbo la Kikwajuni Zanzibar kupitia CCM, Hamad

Masauni Yusufu sh. 1,000,000 zilizotolewa na UVCCM

kwa ajili ya kusaidia kampeni zake. Hafla hiyo

ilifanyika nyumbani kwa babake Masauni, Unguja jana.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA

DKT NCHIMBI AZURU KABURI LA JOHN KOMBA LITUHI, NYASA

DKT NCHIMBI AAGIZA UJENZI UWANJA WA NDEGE SUMBAWANGA UKAMILIKE HARAKA