Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji wa Baraza Kuu la

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM),

Ridhiwani Kikwete (kushoto), akimkabidhi Mwenyekiti

wa zamani wa Umoja huo, ambaye ni Mgombea ubunge wa

Jimbo la Kikwajuni Zanzibar kupitia CCM, Hamad

Masauni Yusufu sh. 1,000,000 zilizotolewa na UVCCM

kwa ajili ya kusaidia kampeni zake. Hafla hiyo

ilifanyika nyumbani kwa babake Masauni, Unguja jana.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MWANAMKE ALIYEVUNJA REKODI KWA KUZAA WATOTO 69

BODI YA LIGI YAKIRI MAKOSA, WAIOMBA YANGA WAYAMALIZE

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO

HUU NDIO UKWELI ULIVYO RAFIKI YANGU

BODI YA LIGI SASA WAOMBA HEKIMA NA BUSARA ITUMIKE DERBY YA YANGA, SIMBA

RATIBA KAMILI YA HARUSI YA DIAMOND, ZUCHU

ZIJUE TABIA 9 ZA WANAWAKE HAWA....

TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI 10 ZINAZOONGOZA KWA MAZAO YA KILIMO AFRIKA