Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ridhiwani Kikwete (kushoto), akimkabidhi Mwenyekiti wa zamani wa Umoja huo, ambaye ni Mgombea ubunge wa Jimbo la Kikwajuni Zanzibar kupitia CCM, Hamad Masauni Yusufu sh. 1,000,000 zilizotolewa na UVCCM kwa ajili ya kusaidia kampeni zake. Hafla hiyo ilifanyika nyumbani kwa babake Masauni, Unguja jana. |
MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA
* Bi Julie Mkulo*Anasikitika kutangaza kifo cha mume wake *Bw.Mustafa Mkulo* kilichotokea Leo *04-05-2024* Katika *hospital ya Muhimbili Dar es salaam* Shughuli zote za mazishi zitakuwa *Msikiti Maamur* *04-05-2024* Maziko yatakuwa jumapili *05-05-2024* Kilosa Morogoro Taarifa zaidi zitatolewa baadae *Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon* Pumzika kwa amani Mustafa Haidi Mkulo, Waziri wa zamani wa Fedha na Mbunge wa zamani wa Kilosa.
Comments