RIDHIWANI AMPIGA TAFU MASAUNI UBUNGE ZANZIBAR


Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ridhiwani Kikwete (kulia) akilakiwa kwa furaha na Mwenyekiti wa zamani wa umoja huo, ambaye ni Mgombea ubunge wa Jimbo la Kikwajuni Zanzibar kupitia CCM,Hamad Masauni Yusufu alipowasili kumpa nguvu katika kampeni mjini Unguja juzi. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAMBO 5 YA KILA MWANANDOA KUFAHAMU