RIDHIWANI ATUZWA UKONGA

Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ridhiwani Kikwete (katikati), akionesha hati aliyokabidhiwa  na UVCCM Wilaya ya Ilala, kumpongeza kwa kutambua mchango wake kwa UV CCM, wakati wa mkutano wa kampeni za kupanga mikakati ya ushindi kwa CCM, katika Kata ya Kitunda, Jimbo la Ukonga, Dar es Salaam juzi. Kulia ni Katibu wa UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam, Omari Ng'wanang'walu na Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Ilala, Alfred Tukiko. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MWANAMKE ALIYEVUNJA REKODI KWA KUZAA WATOTO 69

BODI YA LIGI YAKIRI MAKOSA, WAIOMBA YANGA WAYAMALIZE

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO

HUU NDIO UKWELI ULIVYO RAFIKI YANGU

BODI YA LIGI SASA WAOMBA HEKIMA NA BUSARA ITUMIKE DERBY YA YANGA, SIMBA

RATIBA KAMILI YA HARUSI YA DIAMOND, ZUCHU

ZIJUE TABIA 9 ZA WANAWAKE HAWA....

TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI 10 ZINAZOONGOZA KWA MAZAO YA KILIMO AFRIKA