Wanachama, Mashabiki na Wapenzi wa Chama cha Mapinduzi CCM, wakicheza Rusha Roho kwenye mkutano wa kampeni Jimbo la Donge kaskazini B Unguja Uliofanyika leo katika uwanja wa Mahonda Zanzibar, ambapo Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Dk. Ali Mohamed Shein alihutubia kwenye mkutano huo.
 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MWANAMKE ALIYEVUNJA REKODI KWA KUZAA WATOTO 69

BODI YA LIGI YAKIRI MAKOSA, WAIOMBA YANGA WAYAMALIZE

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO

HUU NDIO UKWELI ULIVYO RAFIKI YANGU

BODI YA LIGI SASA WAOMBA HEKIMA NA BUSARA ITUMIKE DERBY YA YANGA, SIMBA

RATIBA KAMILI YA HARUSI YA DIAMOND, ZUCHU

ZIJUE TABIA 9 ZA WANAWAKE HAWA....

TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI 10 ZINAZOONGOZA KWA MAZAO YA KILIMO AFRIKA