LOWASSA AHUDHURIA HARUSI YA MTOTO WA MKUU WA MKOA WA SINGIDA

Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa akifurahia jambo wakati alipokuwa akimtambulisha mbunge wa Viti maalumu CHADEMA Mkoa wa Singida.

 Lowassa akiwatambulisha kwa niaba ya upande wa Familia ya Bwana harusi Wakuu wa Mikoa kutoka Arusha, Manyara, Dodoma, Shinyanga na Kilimanjaro

Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa akiwatambulisha Wakuu wa wilaya za Mkoa wa Kilimanjaro, Arusha na Manyara waliohudhuria harusi ya mtoto wa Mkuu wa Mkoa wa Singida Kone jana mjini Arusha.
 
Lowassa akigonganisha glass

Bibi Harusi Joan Catherine Joseph akikabidhi keki kwa Baba Mkwe wake Mkuu wa Mkoa wa Singida Parseko Ole Kone, wakati wa harusi ya kijana wake iliyofanyika jana mjini Arusha, pembeni yake ni Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa ambaye pi ni Mbunge wa Jimbo la Monduli na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Goodluck Ole Medeye.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-

RC KIHONGOSI AELEZA MAFANIKIO LUKUKI MKOA ARUSHA

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA