KUMBUKUMBU YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR 1964

 Mwalimu Julius Nyerere akichanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar, huku akishuhudiwa na Rais wa Zanzibar, Abeid Aman Karume, (wa tatu kushoto) na Rashid Kawawa (wa kwanza kulia) wakati wa sherehe za kwanza za Muungano zilizofanyika Aprili 26, 1964.
Sahihi za waasisi wa Muungano wa Tanzania, Hayati Julius Nyerere (kushoto) na Abeid Aman Karume.n
Waasisi wa Muungano, Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere (kushoto) na Hayati Abeid Aman Karume.
 Waasisi wa Muungano wa nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar, Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere (kushoto) na Hayati,  Abeid Aman Karume (kulia waliokaa) wakisaini nyaraka za Muungano mwaka 1964.
Mwalimu Julius Nyerere (kushoto) na  Sheikh Abeid Amani Karume (kulia) wakibadilishana Hati za Muungano wa Tanganyika na  Zanzibar Aprili, 1964.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA