AZAM VS NDANDA KATIKA PICHA


Beki wa Azam FC, David Mwantika akimuacha chini beki wa Ndanda FC, Paul Ngalema katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2
Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche akiuvutia kasi mpira dhidi ya beki wa Ndanda
Kiungo wa Azam FC, Kipre Balou akitafuta maarifa ya kuuondoa mpira kwenye himaya ya wachezaji wa Ndanda FC
KIpre Tchetche akimtoka beki wa Ndanda jana Chamazi
Viungo William Lucian 'Gallas' wa Ndanda (kushoto) na Mudathir Yahya wa Azam FC wakigombea mpira
Beki wa Azam FC, Erasto Nyoni (kulia) akimtoka mchezaji wa Ndanda jana Chamazi

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA