CHONGOLO AKEMEA UBADHILIFU NDANI YA JUMUIYA ZA CHAMA+video

                               
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Siasa na Ushirikiano wa Kimataifa, Kanali mstaafu Ngemera Lubinga akihutubia kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo alipokuwa akifungua Kikao cha Baraza Kuu la Jumuiya ya Wazazi Makao Makuu ya chama jijini Dodoma leo Desemba 22, 2021

Katika hotuba yake hiyo, Katibu Mkuu Chongolo amesema kuwa makundi yenye hila, njama ndani ya Jumuiya za chama ni ukiukaji wa maadili na havikubaliki wala kuvumilika.

Aidha, Chongolo amekemea tabia ya ubadhilifu katika Jumuiya za chama.



Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Taifa, Dkt. Edmund Mndolwa akizungumza kabla ya kumkaribisha Katibu wa Halmashauri Kuu, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Kanali mstaafu Ngemera Lubinga kuhutubia.
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi, Gilbert Kalima  akiishukuru CCM Taifa kwa kuteua makatibu wa wilaya 16 kutoka kwenye Jumuiya hiyo.
Katibu wa Organaizesheni CCM Taifa, Mondrine Castico ambaye pia ni mlezi wa Jumuiya za chama, akisisitiza ushirikiano wa jumuiya hizo. 
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake CCM (UWT), Dkt Philis Nyimbi akitoa salamu kutoka kwenye jumuiya hiyo.
Wajumbe wa Baraza Kuu la Wazazi wakiwa katika kikao cha baraza hilo.










 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video ujue yaliyojiri kwenye kikao hicho cha Baraza Kuu......

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

Wasifu wa Kizza Besigye

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.

MATUKIO RAIS, AMIRI JESHI MKUU DKT. SAMIA AKIZINDUA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA (MMUT)